MNYIKUNGU umetoa maneno makali na mazito kwa mtu yoyote atayesoma. Hakika Mwangosi amekuwa si kitu tena mbele ya polisi bali ni nyamanyama na mautumbo tu!!! THIS IS UNFAIR.
FROM MY HEART, SOMETHING MUST BE DONE, AND I WILL DO IT.
Haya vipi kuhusu yale marupurupu yote aliyokwisha pokea bungeni? kama gari, mikopo??? au ndio ilikuwa njia ya kuenda kukomba vyetu then anaachia???
WHO'S NEXT.............???
Yaani hii ni nyepesi hivi??? mbona wana siasa za kitoto na kijinga namna hii??? Dawa ya wapumbavu kama hawa ni hii:- nashauri cdm wachukue bendera za ccm wawavalishe nguruwe kwa operesheni itakayoitwa '' VUA GAMBA VALISHA NGURUWE"
Precise Pangolin embu tupe data zaidi za huyu Saidi Bangile maana twahitaji kujua...hadi ilipotokea kabadili jina. Nilisikia hata Mwigulu sio jina lake halisi???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.