Mi sina la kukushauri, labda nikuchagulie jina.
Watu wengine bana! Wewe unajua matokeo ya hicho kitendo halafu unatuuliza sisi tukusaidie! Leeni mimba yenu bana, acha kutafuta visingizio vya kuikwepa.
afadhali umenena,kwanza mtu anapoanza ku'bleed,yai linakua lilishakufa 2weeks ago....bcoz for a cycle of 28 days,yai hutoka siku ya 14,hypothetically huyu mtu anakua kamaliza bleed siku ya tano(yaani siku 9 zilizopita kabla ya yai kutoka).With no doubt,hiyo mimba si yako.......huyo bibiye muongo....
nawewe hacha UTOTO hiyo mimba ni yahuyo mwanamke tangulini mwana mume akawa na MIMBAAA au unataka kuzalishwa??
hakuna kitu kama hicho kuna lingine linawezekana likawa halijaharibika ndio maana wanakuambia usiduu kwa siku tatu baada ya kubleed so lazima iwe yako jombii..