Hili jengo linamilikiwa na mfanyabiashara wa mbao anaeitwa C F Ng'umbi ambae ameiga jina la brand na kwny hilo jengo ameandika VUNJABEI KAMA DAR na hana uhusiano wowote Fred Ngajiro ( Mmiliki wa kampuni ya VUNJABEI T GROUP Ltd)
mkuu ww ndo umemchoka kwa chuki zako binafsi na si wananch wa jimbo hili, wik ilopta kazoa takataka kwa gar yake leo un amuita mzoa mavi, tutabak na msigwa daima, mshindo ipi mitaro imeziba we juha?
we unapanga kuja kumbe? wenzako wako hapa tayar we njoo tukupige hattrick, kwanza umetudharau wananch unaotaka kura zetu et kaz kushinda uwanja wa mwembetogwa, na tutashinda sana, njoo mkuu uione iringa mjini ya dijitali
huwez kuona ila nikupe machache, sa hiv iringa mji mzima una taa za barabaran,manispaa wana catapillar kwa ajil ya kuchonga road za hapa town, maji ni meng mpaka yanapasua mabomba,kigonzile nao wanapelekewa maji
Njoon mjipendekeze tu kwa wanairinga, we madenge unadhan iringa ulokaa ww ndo ya sa hv? tutafanya kama 2010, mi nkiingia chumba cha kupigia kura napiga tu HATTRICK, rais chadema,mbunge chadema,diwani chadema.
"he who alleges must prove' ni wajib wa mtoa tuhuma kuthibitisha tuhuma, boss wako mwigulu ndo anatakiwa aende mahakaman, shonzaaa vp? ben saananne ni mbayaaaaaaaaaaaa
Iringa ipi hiyo itakayochafuka?? Msigwa ni jembe sa hiv iringa full mataa barabaran af mwez wa 8 lami zinasambazwa mjini hapa, shame on you radio imaan
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.