HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,593
- 6,932
Aaron Arsenal re: Lokonga
Bro tumuombee huyu jamaa ila Kwa mtazamo wangu na baadhi ya waliomchambua humu, sioni akifanya vizuri Palace. Kama changamoto zake ni positioning, lack of aggressiveness, pace na poor control na ukabaji mbovu...basi Kwa timu kama Palace si ndiyo watamuua kabisa. Angalau sisi tumaheshimiwa na kuogopwa na wapinzani. Kule hata kina Everton na manyumbu watakuwa wanawapress na kuwakimbiza bila huruma. Pressure hizo hataziweza huyu jamaa.
Bro tumuombee huyu jamaa ila Kwa mtazamo wangu na baadhi ya waliomchambua humu, sioni akifanya vizuri Palace. Kama changamoto zake ni positioning, lack of aggressiveness, pace na poor control na ukabaji mbovu...basi Kwa timu kama Palace si ndiyo watamuua kabisa. Angalau sisi tumaheshimiwa na kuogopwa na wapinzani. Kule hata kina Everton na manyumbu watakuwa wanawapress na kuwakimbiza bila huruma. Pressure hizo hataziweza huyu jamaa.

