johrobby
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 1,066
- 2,253
we usijisifu sana na litim lako la academy ya ustaafu na penshen pale amna ki2Kuna kitu umesahau kuwaambia hawa kima, huyo Marcel Sabitzer ana PHD ya kupiga pasi, ana Masters kwenye maswala ya tackling na kuzuia, hajawahi kupata chini ya A katika somo la kupiga mashuti na kwenye maswala ya mbio huwa anafanya mazoezi na Hussein Bolt.