naomba picha yako pm.niangalie kwanini anapata ujasiri wa kukutuma usiku na anajiamini kufanya hivyo.Ningeweza kumcheat labda ninge enjoy ila sasa najiona lonely, alaf naona tu kama natumika hanithamini
Kazi kweli kweli, huenda umepandishwa cheo or au kuna mkubwa wakoSalaam wakuu, niende kwenye mada. wakuu hivi ikiwa mume(wandoa) ana tabia kama hizi maana yake huwa ni nini anajaribu kuwasilisha ujumbe gani. Mimi nina huyu mume wangu ambae hana wivu na mimi, yuko bize the whole week hana siku ya mapumziko kukaa nyumbani. He never go out with me, hata kazini kwake hajawahi kunipeleka. Nina maamuzi ya kufanya chochote, kwenda popote, na yeyote, mda wowote, sometimes ananiagiza mahali hata mda wa usiku.. He just doesn't care at all, na wala haulizi yani sio shida zake kabisa!! Nimeongea nae hadi nimechoka.
Wanawake wenzangu Kuna ambae unapitia haya na bado unavumilia? Umewezaje!? Na kwenu wanaume mwenza akifanya haya ana maana gani? Nahitaji ushauri wenu please.
Kama hatunzi familia huyo ndo anachosha cute,ila menginemengine haya yanavumilikaMi naona hanithamini, ananiagiza hata usiku!!! Asie na wivu ana mapenzi kweli?
Dronedrake mwenyewe mzee wa kukataa ndoa.hamjui mnataka nini
Kataa Ndoa
seems unapenda wale wanaume kila hatua anakufatilia.Mi naona hanithamini, ananiagiza hata usiku!!! Asie na wivu ana mapenzi kweli?
Anakupenda ndo maana yuko na wewe , kinachokuponza unaangalia mahusiano ya wengine yanaendaje kumbe kila mtu ana formula yake kwenye mapenzi !! Hiyo ndo style yake ya mahusiano ameshakuamini akakuoa sasa mawivu ya nini wakati anajua wewe ni wake !! Kama huamini hebu tikisa kiberiti kidogo 😂😂 tena watu wa design hiyo hawatakagi suluhu !!!Mi naona hanithamini, ananiagiza hata usiku!!! Asie na wivu ana mapenzi kweli?
Dogo wa nguvu za kiumeMjanja huyo.
Hiyo mbinu hata Mimi nakutumia.
Ni mbinu nzuri kujua Akili ya Mwanamke inavyofanya kazi
Kataa zinaa pia ili uwe towashi lakini ikiwa huwezi kujikana nafsi, tukutane kwenye karma ya kupatwa na mikosi + magonjwa ya zinaa + ukimwi na kufilisika kiuchumi.Vitabu vya dini vimewapeleka chaka wenzetu kila siku wanakuja na nyuzi za kulalamikia ndoa zao
Sisi tuendelee na kampeni yetu ya KATAA NDOA
[emoji38]Jana umechoma 350k, Leo umeamua kuingia na sera nyingine ili ujipoze machungu.
Izogi mtumie picha ya PISI KALI Marehemu aliyetangulia mbele za haki mithili ya Roze wa kwenye muvi ya Titanic, kisha siku akikutana na wewe unamlengesha kwa Ke mwenye sura gome kiasi cha yeye mwenyewe kujiona mchumba ili akome kuhadaika kirahisi na anasa za hii dunia [emoji57]naomba picha yako pm.niangalie kwanini anapata ujasiri wa kukutuma usiku na anajiamini kufanya hivyo.
Izogi mtumie picha ya PISI KALI Marehemu aliyetangulia mbele za haki mithili ya Roze wa kwenye muvi ya Titanic, kisha siku akikutana na wewe unamlengesha kwa Ke mwenye sura gome kiasi cha yeye mwenyewe kujiona mchumba ili akome kuhadaika kirahisi na anasa za hii dunia![]()
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile ap
acha nyege wewe😅mbona wivu?Izogi mtumie picha ya PISI KALI Marehemu aliyetangulia mbele za haki mithili ya Roze wa kwenye muvi ya Titanic, kisha siku akikutana na wewe unamlengesha kwa Ke mwenye sura gome kiasi cha yeye mwenyewe kujiona mchumba ili akome kuhadaika kirahisi na anasa za hii dunia [emoji57]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kiwanja sio cha malaya peke yakeWe si ulisema jumla umetumia 350k??