am sory boy

am sory boy

NA wewe mleta mada unataka tujadili wewe kumuomba msamaha boy wako?Poorest topic I have ever seen.
Si umtumie inbox JF,fb,tweeter,BBM,mocospace etc ama kwenye private mobile phone number.
 
U are very right Nikiwe, nashikana bega na ww, ucthubutu kabisaa kumpa pesa hata akija anatembea na magoti!!!! juzi juzi tu hapa mwenzio nimetoka kulizwa, jamaa akaamua kukata kabisa mawacliano......uuuuh!! Sitokaa nimpe pesa yangu mwanaume!

Wewe at least unalogic! But usi-generalise! MAISHA KUSAIDIANA!
Huyo unayemsapoti anaingia ktk kundi ambalo wataalam wa mambo ya ndoa wanashauri usiowe m/ke kama huyo! Hafai kabisaaaaaaaa! kuwa mke!
Afu ni m'bishi! ata haambiliki! Eti pesa zake ni zake tu! Kwani aliombwa agawie bure? Alikopwa tu! Hata Baba yake anaweza kumnyima hela huyu kwa logic zake eti M/mme then atamdharau!
Halaf kakreeeemu eti kila mtu anamajukumu yake! Ni kweli but hata kusaidiana!
Hivi ikitokea siku anaumwa na yuko na huyo mpenzi wake, jee atapika ivyo ivyo? Je atampa papuchi? Kwanini asimpe wakati ni jukumu lake hilo?
Afu yuko mbali ningemzadia hata kofi moja la kumzindua na kumfanya awe na utu (human with humanity)!
Pumbavuuuuuuuuuu.........!
 
C'mon... really??
I thought yo w're smarter than that.... hii dunia nyingine... if you're still living in that world... That a woman can't give anything to her man... simply because ..she is afraid of a man being lazy!!!... you are lost!!!.

How old are you... coz i might be talking... to a "Suger Mumy"
But anyways... you just need to change!!... this is integreted new world, not that of eighty's.
:wave:
Only few people with the same old and primitive ideology.. like you... can fall in love with.... and if it was me... i would be gone for good....
Ungeisoma number.......> arghhhhhh.
 
Anyways ... si ungeweza kumu inbox moja kwa moja.... why did u have to post it here?,...
This isnt about being rude... but these kind of posts... just boil my piss.
 
Yatakushinda shost, ushauri wa bure. Heshma ya mahusiano haiji kwa kumsaidia au kutomsaidia mwenza. Nadhan kama unaamini mwenzio anapata kidogo na si mfujaji wa pesa unaweza kumsapoti. Au unafurahia kuona kaenda kukopeshwa kwa mume wa shost yako wkt wewe ungeweza? ..pocbly bado u mtoto! Unajiona so special to the extent that every1 is responsible for you.
 
wherever ur are,najua nilikudissapoint baada ya kukutolea nje kukukopesha that money,4sure siwezi kumpa mwanaume pesa especialy sm1 i want 2have future with,am real sorry n am missing u come back soon,hope u wil pass through it
Hahaaaa, dume limepiga mkuki wa M, kweli vijana wameamua kujilipua

binti, hayo mambo i vyema ukayaweka private, haikusaidii ww wala yy... Anyway, god laugh
 
dah!!!
haya maisha bwana, uliombwa kwa siri, ukamkatalia japo umemkatalia lkn bado umemwanika hadharani kweli anastahili haya??
yet, una claim kwamba unamiss na kumpenda dah!!!

anyways ngoja nikae kimya tu manake sijui kama itakaa itokee siku niombwe pesa na mpenzi wangu eti ninayo nimkatalie kisha nije nimwanike hapa namna hii.
 
dont get me wrong,wajua vijana wa kileo ukimzoesha kumpa fedha anabweteka na akishajua unamake zaid yake atakuja kukuachia jukumu la kulea family mama peke yako,so nataka from the beggng afahamu yeye ni baba head of family na provider


Umenikunaje dada'angu, kila siku POVU linanitoka humu kuwaambia wanawake wenzangu jamani, mwanaume haongwi hela. Mwanaume ni MAJUKUMU. Na nyie kina dada acheni kubeba majukumu ambayo sio yenu. Waachieni wenyewe, walipewa hayo majukumu na MUNGU. Waliambiwa 'UTAKULA KWA JASHO'. Wafanye kazi, waache UPOYOYO.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom