1.Mwaka ndio unaishia, utakuwa unatathimini uliyoyafanya tangu mwaka uanze, pengine unafurahia au kujutia, Mshukuru Mungu kwa yote, jipange kwa mwaka ujao.
2.Umejipanga kwa ajili ya Krismas?, umejichanga pesa ya kuwanunulia wanao/familia nguo za krismas, chakula kizur, maua, Chrismas tree...