Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 17,519
- 32,675
Interview ya leo 90% wana kazi zao. So siyo tatizo la ukosefu wa ajira bali ni tatzio la kutoridhika na ajira walizonazo
kiuchumi,kutoridhika na ajira uliyo nayo nalo ni "tatizo la ajira"
Interview ya leo 90% wana kazi zao. So siyo tatizo la ukosefu wa ajira bali ni tatzio la kutoridhika na ajira walizonazo
I say pole
Dah.ninilitegemea mtihani migumu hivyo ni bora hata utungaji Wa UDSM na Mzumbe.kama wanatukomoa vile.Dah wadau mtihani wa assistant custom officer tra ulikua mgumu balaa... Yaani hawa jamaa wamevunja rekodi....
Maskini...usikute post zenyewe zishapata watu miezi mingi iliyopita
Hapo 95% ya waliokwenda hapo wanaajira.
Naiona hatari ya uwepo wa kundi kubwa la vijana wasiyo na kazi au shughuli maalum (idle) na wasiyokuwa organised. Ikitokea mtu, watu au kundi la watu wa kuwa-organise kwa namna ya kuharibu ni hatari.
Interview ya leo 90% wana kazi zao. So siyo tatizo la ukosefu wa ajira bali ni tatzio la kutoridhika na ajira walizonazo
kiuchumi,kutoridhika na ajira uliyo nayo nalo ni "tatizo la ajira"