Mikopo kwa graduates

Mikopo kwa graduates

sasa cheti changu kinawapa vipi interest nikikisusa wao watapata nini au nikifa how will they get back their money .....
 
Watapeana watoto wa vgogo tu c wa cojijini tutaishia kwenye makorido tu.
Kama wameshatiana saini makubaliano ya mpango huo inamaana fedha nazo zipo na sio ajabu wale wakusubiri hadi matangazo official wakaskia fedha zimekwisha. Graduate apate 50ml wakat mfanyakaz mwenye mkataba 5yrs anaruhusiwa kukopa labda hadi 30ml tuu. Usanii lazima ufanyike hapo
watanzania mim nimepiga NEEC ambao ndiyo waratibu no +225 22 2125596 siku moja baada ya makubaliano nikambiwa ZOEZI LIMEISHA FUNGWA NIENDELEE KUSOMA MAGAZETI MPAKA WATAKAPO TANGAZA TENA MM MWENYEWE MAGAZETI MPAKA NIVIZIE HAPA KA BIL MOJA KAMEISHA LIWA NA WATOTO WA VIGOGO KAMA HUAMINI WAPIGIE NA UFANYE KAUCHUNGUZI TANZANIA ZAIDI UIJUAVYO KIMYA KIMYA.
 
CRITICS

1. Cheti cha graduate ndio collateral , vp akishindwa kurejesha mkopo watafanyia nini vyeti?, wakat huohuo kupata ajira kwa kijana inaweza kuwa namna ya kulipa deni, atapataje na vyeti vimechululiwa?

2.KIASI CHA SH.BIL 1 KIMETENGWA.
Hivi hii project ni ya Bil.1 kweli? Halaf unaambiwa kikomo cha kukopa ni 50m kwa individual & 200m kwa vikundi.

Kwani bil ni sh. ngap?
(1000m), kwa mfano km individuals wakataka mkopo had maximum (1000/50= 20 people ) au vikundi (1000/200 = 5 groups)

Sasa sijaelewa hii 1 Bil Ina maana gani?, ni fedha ya mafunzo?

Kwa kuangalia idadi ya graduates wanaojitokeza ktk interviews mbalimbali na kiasi hicho cha pesa haviendani

Km kweli hiyo pesa ndiyo imetengwa, wataongeza tatizo juu ya tatizo, malalamiko kibao na RUSHWA kwny utoaji wa mikopo. Hata Bil 10 haitoshi
 
watanzania mim nimepiga NEEC ambao ndiyo waratibu no +225 22 2125596 siku moja baada ya makubaliano nikambiwa ZOEZI LIMEISHA FUNGWA NIENDELEE KUSOMA MAGAZETI MPAKA WATAKAPO TANGAZA TENA MM MWENYEWE MAGAZETI MPAKA NIVIZIE HAPA KA BIL MOJA KAMEISHA LIWA NA WATOTO WA VIGOGO KAMA HUAMINI WAPIGIE NA UFANYE KAUCHUNGUZI TANZANIA ZAIDI UIJUAVYO KIMYA KIMYA.


Duuh! Sasa hv vitu c bora wacwe wanatangaza wawe wanamaliza juu kwa juu tuu. Cc hatutawalalamikia coz tunajua ndo system zao. Very awkward.
 
Duuh! Sasa hv vitu c bora wacwe wanatangaza wawe wanamaliza juu kwa juu tuu. Cc hatutawalalamikia coz tunajua ndo system zao. Very awkward.

dawa ni kuwaweka hewani hivihivi wajue hakuna linalotupita na siku vijana tukifumuka utakuwa ndiyo mwisho wao.
 
Naam vijana tunapaswa kujiajili lkn sio kutegemea mfumo wa zamani wa ajira ila pia tunapaswa kutokuchoka wala kukata tamaa,MIKOPO ipo lkn kwa wale waliojiajili& wafanyakazi sio bahati nasibu...........
 
Back
Top Bottom