Umesahau kauli moja TATA ya juzi juzi kutoka kwa waziri wa FEDHA Mustapha Mkulo wakati wa uwasilishaji wa BAJETI ya 2011/2012 alisema kila mtu atakula kulingana na urefu wa kamba yake......sasa hapa sijui alikuwa anahalalisha WIZI????
Kwa mfano unachungulia chumba cha gesti, unamfuma mkeo anapigwa msumari na jamaa, tena kwa staili ngeni ngeni halafu mtu anakuambia umsamehe, basi utakuwa na mtindio wa ubongo.
Wana IGUNGA hebu fikirieni vizuri, kama Mungu wenu Rostam Aziz Kwenye kiti hicho cha ubunge kwa tiketi ya CCM ameona matatizo yaliyopo kwenye kiti hicho KUPITIA CCM sasa kwa nini msiachane na CCM mkachagua CHADEMA, Mkiendelea na wabunge wa CCM hapo Igunga mnatwanga maji kwenye kinu!
Ukiangalia ajali kubwa kubwa zilizowahi kutokea nchi hii, ni kutokana na uzembe wa wahusika na pengine serikali kwa sehemu kubwa. Zimekuwa zikitokea ajali zinazofanana fanana pasipo kupatiwa ufumbuzi. Hebu kumbuka miaka ya tisini mwishoni Treni ya reli ya kati ilianguka na kudidimia kwenye maji...
Talking this shiiiiiiiiiiiiiiiiit, you must be a "GREEN GUARD MEMBER" or any other Empty-headed creature, royal to "MAGAMBA".................... GO TO HELL..............!!!!
Acha uoga! Acha uoga! Ukiamua kuyavulia nguo maji lazima uyaoge..., Lete mitambo yako hapa hapa kwa babu zako na bibi zako, ufanye mambo. Tatizo la umeme sio la milele, Kwa sasa anza na STANBY GENERATORS, Lazima utatoka tu..!!. Ukitaka kutoka FASTA wekeza Tanzania.
Kwa hili CCM hawana la kujitetea, wamelikoroga lazima walinywe wenyewe, Huyo mkuu wa wilaya alistahili hiyo aibu. Na nashangaa kwa nini hawakuumpa kisago, kwakweli vijana wa CHADEMA wameonesha ustaarabu sana!
Kwa hili CCM hawana la kujitetea, wamelikoroga lazima walinywe wenyewe, Huyo mkuu wa wilaya alistahili hiyo aibu. Na nashangaa kwa nini hawakuumpa kisago, kwakweli vijana wa CHADEMA wameonesha ustaarabu sana kwa hilo!
Inaonekana mkubwa ni mtaalam sana wa kuzigusa kuta za uke,ndio maana mwana mama anafikia kileleni mara nne, usimuache huyo, kuna wengine hata mara moja hatujawasikia kufika kileleni.Huyo kama ni mwizi basi ni mwizi mzuri......!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.