Recent content by Ndeleya

  1. N

    Natafuta incubator

    Ahsante ntawatafuta. Nikipata kwa bei nzuri usikonde ntakurushia kavocha hata ka buku!
  2. N

    Natafuta incubator

    Wapendwa wanajukwaa! Natafuta mashine ya kutotolea mayai yenye uwezo wa kubeba mayai kati ya 200 mpaka 500. ...ukiniambia mahali zinakopatikana na bei zake ntakushukuru.
  3. N

    Natafuta incubator

    Natafuta mashine ya kuangulia mayai. Mwenye info mahali zinapopatikana na bei zake kulingana na capacity. Kama hutajali na mashine ya kuchanganya chakula.
  4. N

    Naomba kufahamu kuhusu mitihani ya CPA Tanzania

    Tembelea tovuti hii utapata majibu ya maswali yako yote. National Board of Accountants and Auditors - NBAA
  5. N

    Mahakama ya Kadhi ni nini?

    Mleta hoja yuko clear sana, lakini hao wenye mahakama yao naona wanaruka ruka tu bila kujenga hoja. Hivi miongoni mwa Waislamu hakuna hata mmoja mwenye ufahamu wa mahakama hii akatujuza msingi wa kutaka iingizwe kwenye katiba na ihudumiwe na kodi za wananchi? Kumng'ang'ania Pinda na ajenda yake...
  6. N

    Usipoolewa kuendesha hizi gari ni ndoto

    SWIFT vipi? Nilikuwa na mpango kumuagizia mke wangu PASSO lakini umenivunja moyo. Niambie SWIFT itafaa?
  7. N

    Nimepata kazi

    Naona wenye degree wamejaa povu! Wapo wenye degree wengi tu ni mizigo!
  8. N

    CRDB wametoa nafasi za kazi za bank officers

    PLC = Programmable Logic Controls (For Engineers)
  9. N

    Mwanaume hereni masikioni na msuko wa twende kilioni

    Je huu ni uzuzu, uzezeta, au ulimbukeni? Kwani umaarufu mpaka utoboe masikio na kuvaa heleni? Haya, hiyo haitoshi sasa wasuka twende kilioni na mkorogo wapaka. Acheni hizo bana, mnatudhalilisha wanaume wenzenu.
  10. N

    Nimeitwa UNV

    Ni nafasi nzuri. Nakushauri ukubali hiyo offer. Siku hizi zinapatikana kwa shida sana. ...Hata hivyo ukisha-sign mkataba kuna ugumu fulani kupata kazi United Nations hasa kwenye DPKO, huwa inabidi u-resign kisha ukae miezi 6 ndio uwe eligible kuomba kazi kwenye DPKO. Wameweka visheria sheria...
  11. N

    Kiwanja kinauzwa kinyerezi 20*20

    Tangaza bei, jamani kiwanja kinauzwa kinyerezi kinaukubwa wa mita 20 kwa 20 kimepimwa kwa tape na sio miguu. wahi sasa wasiliana na muhusika kwa namba 0768570703
  12. N

    Uraia wa waTutsi !

    Wote waliuana maana ilikuwa ni vita. Kwa kawaida wanaoshindwa vita ndio wamekufa zaidi. Kwa hapa Wahutu ndio walikimbia baada ya kushindwa. Data ambazo sio rasmi inasemekana walikufa watu 800,000. Kabla ya mauaji population ya watusi wote including watoto inasemekana ilikuwa hawazidi 500,000...
  13. N

    Juu ya tuhuma kwa Zitto na kundi lake kutoka kwa Mamuya...

    Yote haya hayana budi kutokea ili kujua mbichi na mbivu. Yawezekana damu yenu imo ndani ya CDM lakini ni damu chafu, inatakiwa kuwa drained, sio kusafishwa maana haiwezi kutakata.
  14. N

    Rais Kikwete ateua bodi mpya ya TANESCO

    Kurudi kwake kutasaidia kurekebisha makosa aliyofanya akiwa madarakani na yale aliyoyaona akiwa nje. Sometimes uzoefu unahitajika katika mambo haya.
  15. N

    Rais Kikwete ateua bodi mpya ya TANESCO

    Kurudi kwake kutasaidia kurekebisha makosa aliyofanya akiwa madarakani na yale aliyoyaona akiwa nje. Sometimes uzoefu unahitajika katika mambo haya.
Back
Top Bottom