Nimepata kazi

Nimepata kazi

hatimaye mat.---- yamelia mbwata...!

tutegemee nini kutoka kwako?
 
Uje nikuelekeze matumizi yake. Usisahau fungu la kumi kwa Mungu na sio Guest na pombe

Hahahahha kwaninavyo muona dogo fungu la kumi atalitolea Guest house
 
KATOE SADAKA,WAKUMBUKE WAZEE/WALEZI EPUKA ANASA NA VISHAWISHI,FANYA IBADA,ETC
#sh rout config##
 
HAPO NDIO UMEFUKA KAMA SIGARA INAYOUNGUA, DEGREE NI DEGREE TU HUWEZI KUIBADILI. Suala la msingi umepata kazi sio kuwashinda wenye degree. Fanya shukrani kwa Mungu wako sio kuleta majigambo hapa. Interview huwa tunaangalia vitu vingi sana sio uwezo wa kushinda interview. Nipe email yako nikutumie "Recruitment and Selection Process" usome, kutoka kwenye Principles and Practises of HR. Waliosoma HR wanajua hzo mambo
NARUDIA TENA, MSHUKURU MUNGU WAKO SIO KULETA MAJIGAMBO HUMU

Habari yako kiongozi?
 
Usisahau kuwa kazi mbaya ukiwa nayo. Usijiwahau Fanya kazi kwa bidii na uadilifu
 
Lakini huenda mwajiri kaona kumuajiri mwenye bachelor gharama inakuwa kubwa, so usijitape umewabwaga coz hukusaili wewe.
 
Degree bongo?

Mkuu,Diploma na certificate ni kada ya kati ambao kimsingi huwa ni 'mafundi',mwenye digrii anafanya kazi za utawala zaidi.kwahiyo waajiri wengi wanahitaji cheap labour ili kupunguza running cost coz mtu wa digrii anahitaji hela nyingi kuliko diploma usivimbe kichwa wakati hawawezi kukupa mshahara wa kumfikia mwenye digrii.
 
Ha ha maskini akipata ,,,,,,,,. Mshukuru Mungu wako piga kimya!
 
Hongera sana;
Jitahidi uingie darasani haraka, soko ni gumu sana.
 
Umepata kwakuwa umetaka mshahara mdogo tena minimum kabisa.
 
Duh! Baada ya kusota sana mtaani hatimae nimepata kazi. Ndugu zangu tusikate tamaa kuapply ipo siku utapata. Nilifanya oral na written interview sijahonga wala nini nina diploma ila nimeongoza interview zote tukichuana na wenye degree. Nashukuru wanajamii kwa yote. Confidence ni muhimu sana kuelekea kufaulu usaili japo so kwa asilimia mia moja.

Confidence mhimu ila sio saana unamaana gani? Vipi uchawi unahusu kidogo?
 
cha msingi umepata kazi shukuru kwani baadae utakuja kuwa na degree hiyohiyo labda usiwe na career development hata km unalipwa kwa contribution related pay!
 
Kupata kazi ni step moja wapo nzuri sana..step ya pili ni maslahi..usiseme umewazidi wenye degree ukajiona kuwa umewazidi kila kitu..elimu pia ina nafasi yake.kwa kawaida kampuni binafsi huwa inaangalia profit zaidi so it is better to get cheap labor and maximise profit labda wenzio wenye degree waliomba mshahara mkubwa na kwa kazi ya it assistant hata mtu wa certificate anaweza akaifanya kwani basically inadeal na troubleshooting pamoja na kufuata maelekezo ya IT manager kwa kifupi wewe ni technician.Shukuru Mungu na ujitume pia usisahau kuongeza elimu ili usije ukawa IT assistant for the rest of your life: THIS IS MY ADVICE
 
Back
Top Bottom