Nimeitwa UNV

Nimeitwa UNV

Mimi sio kijana kivile ebola ndo shaka yako? Pole sana niko DRC mpaka sasa na Mungu wangu ameendelea kunilinda kama alivyonilinda nilipokua Iraq. Lakini Cote d'ivore ebola haijafika
 
Wacha nisaidie katika kuelewesha hapa,, Kwanza kabisa hii dhana ya watanzania kuogopa kufa sio kabisa,, maana hapa JF ukipost issue ya kazi za emergency katika nchi za Iraq, Afghanistan, Congo na kwingineko utasikia aaaa siendi kufa huko .... au du Kongo tena!!?? aaaa wapi na hii ndo imesababisha wakenya, waganda, wajazane kwenye operations nyingi na hata ukisema unatoka Tanzania unasikia waoooo you are the only one here,,, Iraq nilikua peke yangu (Najaf) lakini kulikua na waganda , wanyarwanda , a wakenya kibao wakifanya kazi kwenye mashirika na wengine wakifanya biashara binafsi kama Internet service providers hasa South Sudan. vijana wa kaitanzania wamekua motivated sana na siasa wanashinda JF na kwingineko wakipost na kujibu mambo ya siasa na udaku ( sio wote) ni wkati sasa watanzania wenzangu tuamke na tuchangamkia fursa za kimataifa hizi kazi ni real kabisa na hakuna kujuana. kuhusu hii kazi ya UNV ni kweli nina jamaa yangu kule lakini mawasiliano kwa sasa hakuna nadhani yuko remote sana na ndo maana nimeuliza hapa, na unajua nataka tu kufanya maamuzi kama nitoke Congo na kwenda huko Cote d'Ivore (balanace ) maaana abidjan nako sio mchezo kwa maisha. nisiwachoshe kwa wale wangekpenda kujisajili ingia hapa . www.unv.org na ReliefWeb. Save the Children International. mkiingia humo kuna sehemu ya kujisajli kama volunters na kuna sehemu ya nafasi za kazi. niko nje miaka 3 sasa na nahama toka nchi moja kwenda nyingine ... kazi hizi nazipatia humo. Allah/Mungu wetu awajaalie na huu ndio mchango wangu ... Ya Allah pokea sadaka yangu
 
Take it man and don't West it, nigga huwa unasain short contract but ziko so okay, unachukua up to 5 million per month, halafu kama bado ni kijana unaweza kupata un staff ambayo utakuwa umeyapatia maisha, coz salary yao ni up to 9000 $$ so kwa ushauri wangu don't waste it, but make sure English inapanda coz wako na interview ambayo sio ya kidogo... Goodluck
usi mislead watu,UNV hamna mshahara,huwa wanapewa allowances za kujikimu,ni kubwa kwa hapa tz koz ipo interms of dollars,sema haifiki $9000,ni around $1500-2000 hivi.
 
usi mislead watu,UNV hamna mshahara,huwa wanapewa allowances za kujikimu,ni kubwa kwa hapa tz koz ipo interms of dollars,sema haifiki $9000,ni around $1500-2000 hivi.

Soma vizuri my comment, acha kuvamia, labda nlipokosea ni badala ya up to 5 million allowances per month, nikaweka per month, which there is no big difference since it's like mshahara, and kwa taarifa yako un staff they earn up to that salary plus many allowances.... Acha kudandia treni kwa mbele, am sure of what am saying dude!?
 
Wa bongo kwa kukatisha watu tamaa ,ila ninge waomba wale wanye ndoto zao kwa nini usifanye kimya kimya kuliko kuleta humu kwanye jf coz ninavyoona ona mimi hakuna msaada humu zaidi ya ujuaji tu kila mtu anajiona bora na elimu yake.Jamani msilizike na iyo mishaara yenu ya utumwa na ivyo vigari vyenu vya mkopo ,tafuteni nafsi zingine ambazo zitatengeneza cv zenu .mshaara wa 1million ckitu watu wanakuchua zaidi ya 23 mill na kuendelea .Jamani wabongo tuamke tusiwe wajinga kiasi hiki ,kushindana kwenye mitandao ya kijamii na maisha yetu ya kimasikini ni hilo tu
 
Mkuu unv niliapply mpaka leo hata hawajaniita,zaidi ya kunitumia newsletters za kila mwezi,na natamani kweli kujoin hii kitu,hebu nipe maujanja uliingiaje humo?

Mimi nimejaribu kujisajili ila password yangu inakataa kuwa accepted na ina 8 characters kama wanavyoitaji,nisaidie tatizo laweza kuwa nini ?
 
kaka namimi pale nilijiresta ila nilitaka unifahamishe tofauti ya secondry diploma na vocational diploma
 
Jinisi ya kujiunga ni vip na wanahitaji vigezo gani mkuu?
 
Mimi nimejaribu kujisajili ila password yangu inakataa kuwa accepted na ina 8 characters kama wanavyoitaji,nisaidie tatizo laweza kuwa nini ?
Mtende utakuwa umekosea tu iangalie vizuri yako mara nyingi utakuwa umekosea tu na pengine umeweka herufi kubwa wakati uliisajiri kwa small case maranyingi huwa ni case sensitive..... ukipata shida ni PM... ngoja nijibu baadhi ya post hapa,,,,, mimi kuomba masaada siku na nia ya kuwakoga nilikua nashida ya msaada wa ku compare hapa nilipo na kuko ili nianye maamuzi mazuri.. lakini pia nia yangu ilikuwa ni kuhamasisha vijana kujiuunga na UNV na volunteer services zingine maaana watu wakisikia volunteeering wanadhani ni bure imagine dolla 2600 kwa madafu ni kama 400,000,00 ni ndogo kwa kijana tena unaenda pata exposure ya nje? jaribu msiktaishwe tamaa link hii hapa tena United Nations Volunteers:Â-Home
 
Last edited by a moderator:
kaka namimi pale nilijiresta ila nilitaka unifahamishe tofauti ya secondry diploma na vocational diploma

secondary diploma ni degree na vocation ni kama inavyojieleza ni kama diploma ya computer, umeme, plambing na kama hizo
 
Soma vizuri my comment, acha kuvamia, labda nlipokosea ni badala ya up to 5 million allowances per month, nikaweka per month, which there is no big difference since it's like mshahara, and kwa taarifa yako un staff they earn up to that salary plus many allowances.... Acha kudandia treni kwa mbele, am sure of what am saying dude!?
sasa kuna tofauti kubwa sana kati ya employed un staff na voluunteers,anyways...ulikuwa unazungumzia kitu ambacho vbeen thr done it....im right ur wrong!
 
sasa kuna tofauti kubwa sana kati ya employed un staff na voluunteers,anyways...ulikuwa unazungumzia kitu ambacho vbeen thr done it....im right ur wrong!

May be ua right, but we are not fighting, we are just helping somebody here...
 
Kwanza kabisa namshukuru mola wangu na wenu kwa bahati hii japo sijafanya maamui bado, nimeitwa unv west africa .. Nimekuwa kwenye rosta ya unv kwa toka mwaka 2002 na nimeshitwa mara tatu moja nilikataa maana ilikua short mission ya south sudan wakati ule wa uchaguzi na nyingine ilikua ya afghanstan hii sikuiona email yako ilikua trashed kama junk mail. Jana tena wamenitumia offer nyingine ya west africa ,, naombeni msaada kwa wale walopata kufanya kazi za unv complete parkage yao huwa kiasi gani,, yaani ile take home.

Mwisho kabisa na himiza vijana kujisajili na hawa jamaa wa unv,, ni wakweli na hawana mambo ya mlango wa nyuma ukijisajili kwenye system yako unapewa rosta number yao system iki match unaitwa,, kunajamaa yangu yuko un leo alianzia hapa mwaka 1998 mpaka leo ni mwajiriwa wa un full time.



Ni nafasi nzuri. Nakushauri ukubali hiyo offer. Siku hizi zinapatikana kwa shida sana. ...Hata hivyo ukisha-sign mkataba kuna ugumu fulani kupata kazi United Nations hasa kwenye DPKO, huwa inabidi u-resign kisha ukae miezi 6 ndio uwe eligible kuomba kazi kwenye DPKO. Wameweka visheria sheria fulani vya ovyo ovyo vinavyozuia kupata kazi idara zingine za UN. Lakini watu huwa wanapenya pamoja na ukiritimba. .....All in all ni nafasi ni nzuri ukilinganisha na labda hapo nyumbani. Packages inategemea mahali unapopelekwa. Sehemu ambazo zimekuwa declared kwamba ni hazard kwa mtu mwenye dependant anaweza kupata mpaka $3650/mwezi mazagazaga yote inclusive. Note: VLA $1500, House allowance varies btn $500 - $900, Dependant allowance $500, Hazard pay $650. Sina uhakika sana na figures lakini approximation ni ya karibu sana.
 
Ni nafasi nzuri. Nakushauri ukubali hiyo offer. Siku hizi zinapatikana kwa shida sana. ...Hata hivyo ukisha-sign mkataba kuna ugumu fulani kupata kazi United Nations hasa kwenye DPKO, huwa inabidi u-resign kisha ukae miezi 6 ndio uwe eligible kuomba kazi kwenye DPKO. Wameweka visheria sheria fulani vya ovyo ovyo vinavyozuia kupata kazi idara zingine za UN. Lakini watu huwa wanapenya pamoja na ukiritimba. .....All in all ni nafasi ni nzuri ukilinganisha na labda hapo nyumbani. Packages inategemea mahali unapopelekwa. Sehemu ambazo zimekuwa declared kwamba ni hazard kwa mtu mwenye dependant anaweza kupata mpaka $3650/mwezi mazagazaga yote inclusive. Note: VLA $1500, House allowance varies btn $500 - $900, Dependant allowance $500, Hazard pay $650. Sina uhakika sana na figures lakini approximation ni ya karibu sana.

asante sana ,, nashukuru kwa ushauri wako post iko cote d'ivore abidjan....
 
Kwanza kabisa namshukuru mola wangu na wenu kwa bahati hii japo sijafanya maamui bado, nimeitwa unv west africa .. Nimekuwa kwenye rosta ya unv kwa toka mwaka 2002 na nimeshitwa mara tatu moja nilikataa maana ilikua short mission ya south sudan wakati ule wa uchaguzi na nyingine ilikua ya afghanstan hii sikuiona email yako ilikua trashed kama junk mail. Jana tena wamenitumia offer nyingine ya west africa ,, naombeni msaada kwa wale walopata kufanya kazi za unv complete parkage yao huwa kiasi gani,, yaani ile take home.

Mwisho kabisa na himiza vijana kujisajili na hawa jamaa wa unv,, ni wakweli na hawana mambo ya mlango wa nyuma ukijisajili kwenye system yako unapewa rosta number yao system iki match unaitwa,, kunajamaa yangu yuko un leo alianzia hapa mwaka 1998 mpaka leo ni mwajiriwa wa un full time.

Mkuu utapata around USD 3000 mpaka 3500 kwa mwezi; kama hali ya usalama si nzuri sana unaweza pata danger pay around USD 500 kwa mwezi; wakati wa ku-join utapewa kama USD 4,000 'one time lumpsum' ya kuanzia maisha/relocation allowance.
Ila tu kumbuka utajighalamia nyumba/chumba na chakula.

Kwa wanaouliza UNV ni nini, United Nations Volunteers


All the best.
 
Mtende utakuwa umekosea tu iangalie vizuri yako mara nyingi utakuwa umekosea tu na pengine umeweka herufi kubwa wakati uliisajiri kwa small case maranyingi huwa ni case sensitive..... ukipata shida ni PM... ngoja nijibu baadhi ya post hapa,,,,, mimi kuomba masaada siku na nia ya kuwakoga nilikua nashida ya msaada wa ku compare hapa nilipo na kuko ili nianye maamuzi mazuri.. lakini pia nia yangu ilikuwa ni kuhamasisha vijana kujiuunga na UNV na volunteer services zingine maaana watu wakisikia volunteeering wanadhani ni bure imagine dolla 2600 kwa madafu ni kama 400,000,00 ni ndogo kwa kijana tena unaenda pata exposure ya nje? jaribu msiktaishwe tamaa link hii hapa tena United Nations Volunteers:Â-Home

nimekubali sana kaka kwa ili but bado sijafikisha miaka 25 nafikir mpka mwakani ntajiunga inshallah
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom