Sheria gani iwekwe? Kwa nini serikali itunge sheria kwa ajili ya waislam tu? Kwa akili zao wanadhani shida zao zitaisha kwa mahakama ya kadhi.
Waislam wanatakiwa wakae chini ili wajue ni kitu gani kinachowafanya wawe na malalamiko na madai yasiyo isha.
waangalie, walillia chuo kikuu, wakapewa, bado kimewashinda.
Wakalilia kuchinja mifugo, wanaendelea kuchinja lakini maslahi ya kuchinja kule wanayajua wao.
Wamelilia kuvaa hijabu shule za seriakli, wameruhusiwa, na kama hijabu hazijawasaidia kuongeza ufauli hadi wanachakachuliwa marks, na suala la mimba liko kama kawaida . Maslahi ya hijabu wanayajua wao.
Wamelilia madaraka, 60% ya mawaziri wote ni waislam, bado kuwa na mawaziri wote hapa, wanajua nini kimebadilika kwao.
Wakuu wa mikoa 70% wamepangwa waislam, bado waislam wana lalamika tena kwa fujo.
Raisi wa nchi mwislam tena mdini than ever, bado waislam wanalalamika.
Makamu wa raisi musilam, bado hawaridhiki.
Wameambiwa waandike MOA yao ka ajili ya miradi yao, hawajui inaandikwaje na kuomba misaada kanisani hawataki wanaishia kulalama.
Migawanyiko na marumbano yaaisyoisha miongoni mwao, yanawatafuna lakini hawajui tatizo lao liko wapi.
Sasa wanalazimisha serikali iwaanzishie wizara ya sheria za kiislam na mahakama yao. Hii mahakama ndiyo jibu la matatizo na migongano ya kijamii iliyomo ndani ya uislam?
Ninachokiona, hawa watu hawajui wanataka nini, hawajui matatizo yao ni nini, na wanachofanya ni kuhangaika kutafuta nguvu ya serikali kuwalazimisha wa comply na imani yao.
Kama Kadhi ni ibada, wafanye hko huko misikitini. Hatutaki serikal yetu iwe na mambo ya kidini ka kuwa ni kinyume cha katiba.
Tanzania ni nchi yenye mchanganyiko wa watu wenye imani tofauti. Pamoja na utofauti wetu ki imani lakini pesa zote tunaweka kwenye kapu moja, hivyo kwa vyovyote vile kama Serikali ikilazimisha pesa za kwenye kapu la watu wa imani tofauti zinufaishe imani nyingine kutatokea msuguano ukizingatia kuwa nchi yetu bado ni masikini, yaani tunategemea misaada ya kutoka nje ya nchi lakini eti tutengeneze chombo kingine kitakachogharimu pesa.
Baada ya utangulizi huo napenda kuwashauri waislam hivi:
Waislam waanzishe mahakama zao za kadhi kutokana na sheria itakayowekwa hasa kwenye aina za kesi zinazoruhusiwa kushughulikiwa na Mahakama ya kadhi. Kama kweli waislam wanaona Mahakama ya kadhi ni muhimu sana katika maisha yao, basi kila muislam alieajiriwa serikalini au mashirika binafsi nk, kila mwezi akatwe asilimia kadhaa kwenye Mshahara wake/Pato lake na zipelekwe kwenye account ya Mahakama ya kadhi, kama vile tunavyokatwa kwenye NSSF, TRA nk. Mkifanya hivyo mtaweza kuendesha mahakama zenu kwa gharama zenu bila