Nawasiwasi kama ulimboka ataongea ukwel uliomkuta serikali itamtuliza vzur yy na familia yake malezi na ada za watoto ,jumba hko beach,migari ya kufa mtu ehh ndo aongee nn ,,??ngoja muone atakayoongea mtabaki na mshangaoo chezea serikali,, na mihelaaa lets wait n c