Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
uko kama mimi mkuu kwa ushauri na maelekezo ni pm.
OWA MKE WA PILI.
REASON
Hakuna sehemu Yesu kasema kuoa mke wa pili dhambi.
Hakuna sehemu PROPHET wa mungu wamesema KUOA mke wa pili dhambi.
Sehemu ile kama hakuna wanawake hapo inabidi ufunge kama wanavyo fanya wa islam, au upunguze kula chakula ili shahawa zipungue...Mana shahawa zikizidi unaweza kuchanganyikiwa ukarukia hata wanyama....Au kama kutakuwa na wanawake sehemu ile, utakutana nao wale ambao watakushawishi utoke nje ya ndoa.
Kuna totoz zina fig 8 mazee, huwezi kuzipita itabidi uvute handbrake juu.
All the best.
Enginear gani anakaa miezi mitatu sehemu moja wewe? Kwani yuko vitani.Mpaka sasa umesharukia wanayama wangapi?kwani lazima kufanya mapenzi? Usipofanya mapenzi miezi mitatu utapungukiwa nini? Akioa mke wa pili atakuwa amesolve tatizo kivip? Au unataka kila sehemu atakayokwenda kikazi awe anaoa mke? Just imagine mfano wa surveyer na engnrs wa barabara za highways unajua wanakaa site kwa muda gani?. Acha kushauri watu waendekeze ngono kama ndio kila kitu.
huo ndio ukweli ni kujiendekeza tu,hakuna lolote fanya kazi ukiwa idle angalia tv au soma vitabukujiendekeza tu acha kuwaza waza ngono fanya kazi
Mimi mwenye nilidhani RussianRoulette ni mdada nikataka niulize nimeogopa maana ninaweza kujikuta natandikwa Ban kwa kumhoji Mod.
Ahaaaaa kazi ipo? Miezi mitatu kusastain unashindwa mbona mimi nina miaka mitatu?
Ahaaaaa kazi ipo? Miezi mitatu kusastain unashindwa mbona mimi nina miaka mitatu?
OWA MKE WA PILI.
REASON
Hakuna sehemu Yesu kasema kuoa mke wa pili dhambi.
Hakuna sehemu PROPHET wa mungu wamesema KUOA mke wa pili dhambi.
Sehemu ile kama hakuna wanawake hapo inabidi ufunge kama wanavyo fanya wa islam, au upunguze kula chakula ili shahawa zipungue...Mana shahawa zikizidi unaweza kuchanganyikiwa ukarukia hata wanyama....Au kama kutakuwa na wanawake sehemu ile, utakutana nao wale ambao watakushawishi utoke nje ya ndoa.
Kuna totoz zina fig 8 mazee, huwezi kuzipita itabidi uvute handbrake juu.
All the best.
Na yeye ni mfanyakazi, somewhere alafu kazi yake inamuhitaji sana hawezi kutoa excuse za kijinga jinga akaeleweka labda achukue likizo, ishu inakuja je atachukua likizo mara ngapi?
Mkuu kikubwa hapo ni maamuzi tu.ukiamua hakuna kinachoshindikana