blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 10,439
- 12,595
Umemaliza mkuu HOMOSAPIEN !! Ulimboka fuata maneno ya busara haya. MUNGU anakupenda sana..Kama akili yake inafanya kazi sawia,angenyamaza na kuendelea na shughuli zake na kumuachia mungu yote maovu aliyofanyiwa na aliyoyafanya tena anatakiwa amshukuru sana mungu kwa matendo yote aliyomtendea na akumbuke kabisa mungu ana makusudi fulani na yeye ama aishi ili aone matokeo ya yale aliyokuwa akiyatetea au ajutie matokeo ya yale aliyokuwa akiyapigania,....