Recent content by Nchomali

  1. N

    Uhusiano wa usiku na kifo

    hiii ni statement mpya katika maisha yangu,asante kwa kuw nmejifunza
  2. N

    Ushauri: Hataki tupate mtoto, sijui ana maana gani

    wanatia hasir hawa viumbe hatari!!!mawazo yao wanafikiri kutambulishwa jujuuu ndo guarantee,hawatambui kuw hakuna mwanamke anaetaka kukaa ktk mahusiano kama fasion,hakuna mtu asotaka progress kutoka hatua moja kwenda nyngne ktk mahusiano,nlichoobserve n kwamba type hizi za wanaume ni wazito...
  3. N

    Jamani Azam TV tuhurumieni kwa kutuachia Local Channels

    Changu since last year Dec sijawah lipishwa till morning hiii nmeangalia habari,ni free tu na sta r times may be inataegemea na aina ya kingamuzi chenyewe
  4. N

    Ee Mola wangu mbariki huyu Mwanamke

    Mwngie hata akuone unahangaika vipi atakutizama km mpicha,km hakujui vile,kuna wanaume wanamijiroho mibaya jamani,uhangaike na mtoto upike ufue,ufanye kazi zooote lenyewe limevimba tuu kwny kochi,mpyuuuuu
  5. N

    Ukweli ni kwamba wanaume wengi wanaogopa wake zao

    Nikiwa naona post kama hizi nafarijika kumbe bado kuna watu wa aina hii ya mtazamomm kam mwanamke,ni wanaume wachache wanaoappriciate uwepo na umhimu wa mwanamke katika familia,I appriciate your post,be blessed
  6. N

    Kauli mbaya mbaya uliyowahi kuambiwa na mpenzi wako au ex wako

    Naomba niamsha saa kumi na moja asubuhi baby" weka alam mm ntakuwa na ucngzi" hahahaa,baby mwezi huu ntakuwa hali mbaya kiuchumi naomba nisapot walau kwa pesa kidogo"unamshahara jua kupangilia na uwe na malengo"" looooh ngachokaaa
  7. N

    Magufuli hafai kuwa Rais: Siyo msafi na hajawahi kuwa msafi

    Sijakuelew lengo lako ni nini hasa!ujue kilichosafishwa na kungarishwa na Mungu huwezi chafua hata siku Moja,TANZANIANS they fallen in love with this guy u know!! huwambii kitu at,ukijaribu kumchafua utachafuka wewe!!! hhahaah utasubiri sanaaaa na bado...
  8. N

    Ving'amuzi hivi vinaboa sana na TCRA mpo kimya

    Kwa karesch kangu kadogodogo nlokafanya nmeona almost kila dish la azam basi kuna kishumbusi cha statamz pembeni,coz yan nn ukalipie 15,20 .....tsh uangalie local channel za Azam akat unawez ziangalia free kwa kishumbusi cha statamz,yamebaki kama makumbusho kwamba waliwahi miliki Azam dish
  9. N

    Nishauri: Baada ya kukosa kazi muda mrefu, nimeamua kufanya masters!

    Heeeeee! hunandugu yako yoyote alomaliza chuo hana ajira umshauri afanye kama mawazo yako yalivokutuma awe mfano?itapendeza zaidi
  10. N

    Mpenzi wangu hapokei simu wala kujibu sms zangu, Nifanye nini?

    Anaogopa kufanya maamuzi anajua fika kuwa akikuruhusu muachane hata yeye nafsi itamuuma vilevile,na anafikiria atarudije kuomba huo msamaha,watu wa ivo hawataki kutamka kwa kuhofia kujutia maamuzi badae,kinachofanyika ni mtajikuta mnaachana kimya kimya ili iwe rahisi kurudiana kwa kuwa hajatamka...
  11. N

    Wanawake wenye Ndevu. Tuelimishane

    hIVI KUNA WAZUNGU WANAWAKE WENYE NDEVU?
  12. N

    Nimekata tamaa na ajira

    Karibu sana mtaaani,maisha ya chuo na mtaani ni tofauti kabisa,hiii ndo field
  13. N

    Nimekata tamaa na ajira

    Hata siku moja usiwe mwepesi kukata tamaaa kiasi hicho,weka bidii katika kutafuta na si kulalamika,usibase sana kutafuta serikalini ndg yangu hata privet omba kuwa hata intern au volunteer watu wanaanza chini kabisa mwsho wa siku utatoka, Nina Experience na hiyo situation nlisota mwaka miaka...
  14. N

    Laana ya mwanamke

    Kuna wanaume hawana huruma kabisa yan,hata unamlilia hajali badae anakuja kujuta ashachelewa
Back
Top Bottom