Ee Mola wangu mbariki huyu Mwanamke

Ee Mola wangu mbariki huyu Mwanamke

hahahahahahahahahaha
Nafikiri Mungu ametupa uwezo wa kufanya mambo mengi kwa wakati mmoja na yote yakaenda sawa
ni kweli dear. Vitu vingine ukikaa ukafikiria unavyofanya kila siku unapata moyo wewe ni super woman. Uamke asubuhi mzee umpe cha asubuhi, mtoto aandaliwe shule, mzee anyooshewe nguo za kazini na zako, wakati huo chai ipo jikoni, na hakuna muda jina mama linaitwa mara nyingi kama asubuhi(kwangu mimi), uangalie kila kitu kipo sawa, na uweke utaratibu wa mchana vizuri hadi jioni, upo kazini unawaza jioni itakuwaje, upige simu mara nanenane kukumbushia vitu. Bado ukirudi jioni u do it all over again. Sio rahisi hata kidogo ila ina heshima na baraka zake.
 
Sio lazima mkuu, tena ni vizuri zaidi kubaki bila kuoa/kuolewa. Ila kama huwezi kuyamudu maisha ya kuwa single, basi karibu kwenye ulimwengu wa ndoa.
Sijiongelei mimi.

Nauliza kwa hao wanawake ambao tunaambiwa maisha ya ndoa yanawanira sana.

Pia, kuolewa na mwanamme asiyejali na/au kujielewa ni lazima?
 
Haya maelezo yako ndo yanakaribia kuwa 'theory'. Nina mifano mingi sana za wanandoa, mwanaume anakaa kama gogo ndani ya nyumba.

Labda kwa sababu umesema 'mwanaume wa shoka'.

Sasa sijui hawa wengine ni wanaume wa kisu.
Mwngie hata akuone unahangaika vipi atakutizama km mpicha,km hakujui vile,kuna wanaume wanamijiroho mibaya jamani,uhangaike na mtoto upike ufue,ufanye kazi zooote lenyewe limevimba tuu kwny kochi,mpyuuuuu
 
Wewe puuzi kweli jaribu usiache pesa asubuhi uone utakavyoandamwa, mgawanyo wa kazi wewe unaona kuwa mwanaume raha, mbona usemi wababa wasukuma mikokoteni, wabeba mizigo mizito, wachimbua na wazibua mitaro ya mavi ili huyo mke na watoto wapate kwenda choo.
Duuh anazibua choo ili watu wakajaze choo
 
Sidhani kama kuna mwanamme mwenye mke mzuri hivi, anaweza kumwachia kila kitu mke wske, lazima atamsaidi baadhi ya vitu vidogovidogo home.
Mwanamke anayejituma hivyo anashawishi mmewe kujituma zaidi.
Exactly, unajua wanaume wengi wanafikiri wajibu wao ni kutoa matumizi kununua nguo basi, lakini kuna zaidi ya hayo japo hata hayo ni ya msingi.
Fikiria huyu mama kashinda na watoto, umerudi ukakuta chakula tayari kimepikwa, muda wa kulala mgegedo unauta mama huyo huyo ananyonyesha mtoto huku mgegedo unaendelea...... baadaye mtoto anaanza kulia mama huyo huyo anaamka kumbembeleza mwanaume umetulia kitandani kimya unasubiri mgegedo wa alfajiri?
Not fair, huyu mwanamke anachoka.
 
Ni kweli mwanamke ana stahili huruma yake,lakini hiyo haimaanishi kuwa mumewe hana haki ya kupewa huduma ya chumbani bali huo ndio usaidizi wa mwanamke kwa mumewe kwa sababu mume ndio anae hakikisha kila siku mkate upo mezani.
Umenena vema kbs, well balanced
 
Ameeen napokea hizo baraka kwa mikono miwili ndo maisha yangu hayo kila siku naamka wa kwanza nalala wa mwisho na ni muajiriwa. Big up all ladies ambao ni wake na mama mnaojua wajibu wenu.
Big up kwa wao wanaojua nini wsnafanya bila kulalamika ,cha msingi tu kama una kauwezo mwongezee mschana wa kazi ili ainjoy maisha.
 
Ndio maana leo tumeungana na ninyi, angalia comment zote humu hakuna inayokera, binafsi napenda na kujali mwanamke anayejituma na sipendi anyanyasike pia.

Mbarikiwe wanawake wooooote mnaojua kulinda familia zenu, walioshindwa haya kwa uvivu na uzembe wao huishia kulalamika kila siku, watekelezaji huishia kufurahia ndoa zao milele.

Mlalamikaji maranyingi huwa ni mvivu, hata mwanaume ukiona analalamika ujue kuna wajibu hatekelezi
ni kweli dear. Vitu vingine ukikaa ukafikiria unavyofanya kila siku unapata moyo wewe ni super woman. Uamke asubuhi mzee umpe cha asubuhi, mtoto aandaliwe shule, mzee anyooshewe nguo za kazini na zako, wakati huo chai ipo jikoni, na hakuna muda jina mama linaitwa mara nyingi kama asubuhi(kwangu mimi), uangalie kila kitu kipo sawa, na uweke utaratibu wa mchana vizuri hadi jioni, upo kazini unawaza jioni itakuwaje, upige simu mara nanenane kukumbushia vitu. Bado ukirudi jioni u do it all over again. Sio rahisi hata kidogo ila ina heshima na baraka zake.
 
Kwann uendekeze kugegeda wakati mtoto bado ananyonya tuwe tunasubir watoto wakue vizur
 
Hiyo ni Nature huwezi ibadili
Ebu fafanua mkuu.

Simba dume analinda watoto wake pamoja na familia yake dhidi ya maadui na anasaidia kuwinda msosi. Nadhani hii ndio mfano wa Nature.
 
Back
Top Bottom