Nimekata tamaa na ajira

Tamu chungu

Member
Dec 20, 2015
85
64
Najitahidi sana kutuma maombi ya kazi kila uchao lakini mpaka sasa sijabahatika kupata ajira ya kunisaidia kuendesha maisha yangu.

Haipiti siku bila kupitia website ya utumishi kuona kama kuna ajira mpya wametangaza.Nimekua muudhuriaji mzuri wa interview zao na mwaka jana nilifanikiwa kuingia mpaka stage ya oral interview lakini walipokuja kuita watu kazini sikuweza kuliona jina langu.

Nawaza kujiajiri lakini tatizo sina mtaji wa kuniwezesha kuanzisha biashara ambayo itanisaidia kusukuma maisha.Umri nao unazidi kwenda yani nachanganyikiwa kupita maelezo.Kuna wakati huwa nawazaaaa bila kupata majibu.

Muheshimiwa Magufuli tunajua uko bize katika kuliweka taifa katika mstari ulionyooka ila tukumbuke na sisi watoto wa wakulima ambao hatuna pakushika na tuna familia zinatutazama.

Kama kuna yoyote ambae amebahatika kupata ajira iwe serikalini au sekta binafsi nakusihi heshimu sana ajira yako mana unaweza ukaidharau lakini kuna mwenzako yupo mtaani hajui lini atapata ajira.
 
Hata siku moja usiwe mwepesi kukata tamaaa kiasi hicho,weka bidii katika kutafuta na si kulalamika,usibase sana kutafuta serikalini ndg yangu hata privet omba kuwa hata intern au volunteer watu wanaanza chini kabisa mwsho wa siku utatoka, Nina Experience na hiyo situation nlisota mwaka miaka miwili bila ajira ,nlizunguka na bahasha viatu vikaisha,nkaahamia mjini kutafuta hatimaye nkafanikiwa,nimeajiriwa na nimefanikiwa kujiajiri na nimeajiri ndani ya miezi sita tangu nmeajiriwa,nia na dhamira yako ya kutaka mafanikio ndio itakubidiiisha kutafuta zaidi,MtangulizeMungu kwa kila unachofanya,ongea na wasiliana na watu au hata ndugu ulopotezana nao mda mrefu ili kuongeza channel,Naimani ipo siku utafanikiwa at the right time at the moment,Nakubariki katika hilo na Nakuombea vile vile ufanikiwe.Amina
 
Hata siku moja usiwe mwepesi kukata tamaaa kiasi hicho,weka bidii katika kutafuta na si kulalamika,usibase sana kutafuta serikalini ndg yangu hata privet omba kuwa hata intern au volunteer watu wanaanza chini kabisa mwsho wa siku utatoka, Nina Experience na hiyo situation nlisota mwaka miaka miwili bila ajira ,nlizunguka na bahasha viatu vikaisha,nkaahamia mjini kutafuta hatimaye nkafanikiwa,nimeajiriwa na nimefanikiwa kujiajiri na nimeajiri ndani ya miezi sita tangu nmeajiriwa,nia na dhamira yako ya kutaka mafanikio ndio itakubidiiisha kutafuta zaidi,MtangulizeMungu kwa kila unachofanya,ongea na wasiliana na watu au hata ndugu ulopotezana nao mda mrefu ili kuongeza channel,Naimani ipo siku utafanikiwa at the right time at the moment,Nakubariki katika hilo na Nakuombea vile vile ufanikiwe.Amina

Amina.
 
Jipe matumain utapata,ila ukitaka kujiajiri utaweza lakini kama unachagua au unategemea mpaka upate mtaji mkubwa ndo ujiajiri utasubiri sana..Mfano kama ni Me/Ke ukaamua uchujue vitenge wax bei ya jumla kariakoo ni 18000/19000 *5 ukaviuza kwa 23-25 au kuna vitenge vinaitwa Java jumla 19/20 kariakoo na mikoani ni kati ya 22/23 ukanunua na kuviuza kwa 27/28 ukaanza na 5 au 10 huwezi Ukawa unalialia ajira kila siku unakuta smartphone unayomiliki ndo mtaji tosha wa kuanzia
 
Najitahidi sana kutuma maombi ya kazi kila uchao lakini mpaka sasa sijabahatika kupata ajira ya kunisaidia kuendesha maisha yangu.

Haipiti siku bila kupitia website ya utumishi kuona kama kuna ajira mpya wametangaza.Nimekua muudhuriaji mzuri wa interview zao na mwaka jana nilifanikiwa kuingia mpaka stage ya oral interview lakini walipokuja kuita watu kazini sikuweza kuliona jina langu.

Nawaza kujiajiri lakini tatizo sina mtaji wa kuniwezesha kuanzisha biashara ambayo itanisaidia kusukuma maisha.Umri nao unazidi kwenda yani nachanganyikiwa kupita maelezo.Kuna wakati huwa nawazaaaa bila kupata majibu.

Muheshimiwa Magufuli tunajua uko bize katika kuliweka taifa katika mstari ulionyooka ila tukumbuke na sisi watoto wa wakulima ambao hatuna pakushika na tuna familia zinatutazama.

Kama kuna yoyote ambae amebahatika kupata ajira iwe serikalini au sekta binafsi nakusihi heshimu sana ajira yako mana unaweza ukaidharau lakini kuna mwenzako yupo mtaani hajui lini atapata ajira.
Kama kweli unawaza kujiajiri.. Lakini bado hujuhi ni kwa jinsi gani utaanza... Kama upo Dsm, panda gari hadi mikocheni b, shuka hapo... Ulizia shule ya msingi ushindi.. Ukifika hapo ulizia ilipo ofisi ya dot.... Mtaa ambapl ipo hospital ya tindwa... They will help you. Ukitaka maelezo zaidi ni pm
 
Najitahidi sana kutuma maombi ya kazi kila uchao lakini mpaka sasa sijabahatika kupata ajira ya kunisaidia kuendesha maisha yangu.

Haipiti siku bila kupitia website ya utumishi kuona kama kuna ajira mpya wametangaza.Nimekua muudhuriaji mzuri wa interview zao na mwaka jana nilifanikiwa kuingia mpaka stage ya oral interview lakini walipokuja kuita watu kazini sikuweza kuliona jina langu.

Nawaza kujiajiri lakini tatizo sina mtaji wa kuniwezesha kuanzisha biashara ambayo itanisaidia kusukuma maisha.Umri nao unazidi kwenda yani nachanganyikiwa kupita maelezo.Kuna wakati huwa nawazaaaa bila kupata majibu.

Muheshimiwa Magufuli tunajua uko bize katika kuliweka taifa katika mstari ulionyooka ila tukumbuke na sisi watoto wa wakulima ambao hatuna pakushika na tuna familia zinatutazama.

Kama kuna yoyote ambae amebahatika kupata ajira iwe serikalini au sekta binafsi nakusihi heshimu sana ajira yako mana unaweza ukaidharau lakini kuna mwenzako yupo mtaani hajui lini atapata ajira.
Pole mkuu, nashauri tujitahidi kufanya jitihada za kujiajiri wenyewe, tunazo fursa nyingi sana lakini bado hatujazitumia, japo natambua kuwa changamoto kubwa ni mitaji.
 
Pole mkuu, nashauri tujitahidi kufanya jitihada za kujiajiri wenyewe, tunazo fursa nyingi sana lakini bado hatujazitumia, japo natambua kuwa changamoto kubwa ni mitaji.
Changamoto kubwa kwa vijana ni jicho bovu la kuona fursa na pia UTHUBUTU ni zero. Tatizo la mtaji sio la msingi sana. Mtu unaweza jipinda ukapata laki 5 au hata 1M ila bado wanashindwa kufanya kitu. Pia hofu ya kupata hasara na kupoteza mtaji imetanda, UTHUBUTU ni ishu.
 
Changamoto kubwa kwa vijana ni jicho bovu la kuona fursa na pia UTHUBUTU ni zero. Tatizo la mtaji sio la msingi sana. Mtu unaweza jipinda ukapata laki 5 au hata 1M ila bado wanashindwa kufanya kitu. Pia hofu ya kupata hasara na kupoteza mtaji imetanda, UTHUBUTU ni ishu.
Wasipokuelewa ndo basi tena
 
Najitahidi sana kutuma maombi ya kazi kila uchao lakini mpaka sasa sijabahatika kupata ajira ya kunisaidia kuendesha maisha yangu.

Haipiti siku bila kupitia website ya utumishi kuona kama kuna ajira mpya wametangaza.Nimekua muudhuriaji mzuri wa interview zao na mwaka jana nilifanikiwa kuingia mpaka stage ya oral interview lakini walipokuja kuita watu kazini sikuweza kuliona jina langu.

Nawaza kujiajiri lakini tatizo sina mtaji wa kuniwezesha kuanzisha biashara ambayo itanisaidia kusukuma maisha.Umri nao unazidi kwenda yani nachanganyikiwa kupita maelezo.Kuna wakati huwa nawazaaaa bila kupata majibu.

Muheshimiwa Magufuli tunajua uko bize katika kuliweka taifa katika mstari ulionyooka ila tukumbuke na sisi watoto wa wakulima ambao hatuna pakushika na tuna familia zinatutazama.

Kama kuna yoyote ambae amebahatika kupata ajira iwe serikalini au sekta binafsi nakusihi heshimu sana ajira yako mana unaweza ukaidharau lakini kuna mwenzako yupo mtaani hajui lini atapata ajira.
1.Angalia marafiki/ndugu ulio nao karibu ni wa aina gani
2.Usiishi maisha ya kuiga
3.Ondoa aibu
Kwa kifupi
1.Nina rafiki anaendesha malori makubwa...amemaliza mlimani(nyuma ya mlimani city)...hakuwa dereva alifundishwa kuendesha alipokubali kuwa konda wa lori akapata uzoefu.Leo anaendesha Tank kwenda Rwanda Mileage ni sh.1m. na hurudi nyumbani na mkaa mafta kula kitunguu etc.
2.Kuna ndugu yangu ameamua kujishusha anachoma mahindi katikati ya jiji la Dar...pesa anayofunga kwa siku ni siri yake,ukienda nyumbani kwake uta salute na kujiuliza kwa nini anachoma mahindi town.
3.Jirani yangu ni shoe shiner naye yupo ndani ya jiji,fedha anayofunga ni ya kutosha na anasomesha wanae shule za maana.
Sasa wewe ni vyema ukabadili namna yako ya kufikiri si kila mtu lazima aajiriwe.
JITATHMINI KWA UPYA.
JE? UNAWAOGOPA MADEMU ULIOSOMA NAO?...AU ULIJISIFU SANA WEWE MATAWIII
 
think positive & have faith,usiwe mchaguzi sana, kama mchangiaji mwingine alivyosema unaweza kuanza hata kwa kujitolea, kila kitu kina wakati sahihi wa Mungu kitoke, zinaweza kuja kuanza kufululiza, ukaitwa sehemu nyingi kwa wakati mmoja hadi usiamini
 
Back
Top Bottom