Bado unampenda!! Ukiona huwezi kumtoa mtu moyoni, una kisirani nae...bado una hisia kali kwake.kuna mtu hadi leo namuombea mabaya hadi arudi kuomba msamaha! khhaa!
Ukikaa kumuombea mtu mabaya kamwe haji kupatwa na mabaya..kuna mtu hadi leo namuombea mabaya hadi arudi kuomba msamaha! khhaa!
Huo ndio ujanja sasa...na ni kweli ukiwapotezea...wanarudi mikono nyuma...![]()
![]()
hakyanani sijui nilioshewa nini utotoni, halafu huwa nasamehe kabisa na kusahau ila wanakuja wenyewe na magoti juu...chaa pole yao
ujuzi ni kusamehe, kusahau na kumuombea atambue alipokosea...si watu wote hukusudia kutuumiza...na si mahusiano yote lazima yaende utakavyo..kuna kipindi Mungu hutuepusha na makubwa sana..if you were good atarudi tu kuomba msamaha...Shosti tupe ujuzi waliaji basi lolest
Pia kuna wanawake waliwakaataa wanaume na mahari ishatolewa ...ikarudishwaHili ni kwa Wanawake tu, ukimsomesha mwanamke harafu akakukimbia yeye hapatwi na tatizo. Kuna wanawake wengi tu wamewafanyia wanaume
Hahaha umetoa ujumbe mzuri dearMie moyo wangu una kisebengo, hata mtu anitende vipi, nitamsamehe tu kwa moyo mmoja. Najua kulia mimi jamani, but Nikimaliza tu nashusha pumzi "Mungu Ahsante kwa yote", afu namalizia kale kamsemo kangu "I don't lose people, people lose me" lol.
Ntakuwa tu na hasira wiki za kwanza, hapo mtu asinitafute sio kwa hilo povu ntakalomtolea, but huyo baadaye nasamehe na kusahau. Kukaa na kinyongo moyoni kunaniumiza zaidi mimi mwenyewe na hakuna kitu nachovalue kama my peace of mind, siruhusu mtu au kitu kiniharibie furaha yangu, Never. And thank God moyo wangu una space tu kwa ajili ya Mungu na kwa ajili ya watu wachache ninaowapenda sana. No space kwa ajili ya chuki au kinyongo
So tujifunze tu kusamehe hata bila kuombwa msamaha.
1. Ili tusizuie baraka zetu
2. For your peace of mind. Kwa nini mtu mwingine akukoseshe amani? She/he isn't that much worth. Afu imagine kuishi juu juu kusubiri mtu aanguke, bahati mbaya kuna muda kila unavyosubiria aanguke ndo yeye anazidi kubarikiwa na msamaha hakuombi hahaha
3. You have learnt your lesson. Kuna muda we learn some lessons in a very hard way, kiasi kama ingekuwa unaambiwa tu kwa maneno bana kuna A, B, C usingeelewa hadi yakukute. Despite maumivu na Kila kitu, lakini kila mahusiano yana somo nyuma yake. Shukuru Mungu umepata somo lako mapema, litumie vizuri.
Mnaotenda wenzenu, endeleeni tu... mtakipata
Leo umeamkaje? Naona umeongea point sanaujuzi ni kusamehe, kusahau na kumuombea atambue alipokosea...si watu wote hukusudia kutuumiza...na si mahusiano yote lazima yaende utakavyo..kuna kipindi Mungu hutuepusha na makubwa sana..if you were good atarudi tu kuomba msamaha...
Inauma sanaAu unakuta alikuwa eti anakutest....
Unaumwa wewe, nani akupe chochote?
Povu linakutoka mkuu, basi hayaHabari ndiyo hiyo, mademu wa bongo movie ni machangu na hawana thamani kwa mtu kama mimi. So, mtongozee baba yako au boy friend wako.
mmh! ANGELITA kwanini usimsamehe bila yeye kuja kukuomba msamaha? Kumbuka kuna kusamehe bila kuombwa msamaha.Hakuna kitu kinauma kama kupotezewa Muda, Ex wangu hadi leo pamoja na kuwa na kazi nzuri maisha yake hayaeleweki, kwenye mahusiano ndo usiseme, nabado napiga goti kwa Mungu siku atakayorudi kuomba msamaha kwakunikosea ndo amwachilie.
Ukweli kwa akili yako, what ever makes u sleep at night... sina tatizo na wewe sawa tuIlinibidi niseme ukweli.
Kuna wanaume hawana huruma kabisa yan,hata unamlilia hajali badae anakuja kujuta ashachelewaila inauma kujitoa mzima mzima kumbe mwenzio anapita njia ..