Wananchi ndio hutangatanga baada ya kukosa viongozi thabiti mf.mbunge wa jimbo fulan la ksl mjin ni wa chama tawala lakn ushindi wake ulikua wa zengwe zilizokua wazi ambazo mpinzani wake ambae alikua former Mp na kwasasa kahamia chama tawala angekua makin kipndi cha uchaguzi...
Wanasiasa wa kigoma njaa zimewajaa wengi ni wachumia tumbo...pia wananchi wa kigoma hubadilishwa mawazo kwa siasa nyepesi ni wepesi kubadilishwa msimamo wao ndomana mbunge D alikua chama tawala hakufanya kitu wakampga chini ila yuleyule ambae alifanya madudu karudi wakampa...wakamwamini bwana...
Hilo ndo jawabu mtu na hii kasumba ya uoga inayoendelea kupandikizwa ndo inatafuna wengi,,,,, mwangalie hata huyu Juma kaparatu mtangazaji wa Itv hua anaongoza mdahalo kwa kutokujiamn hasa akiona mtu unakosoa serikal anatoa kisemeo kwako haraka
Si kama wamehongwa ndg yangu ila ukiangalia wengi pale uwezo wao wa kujenga hoja kulingana na mada husika ndo lilikua tatzo uwezo wao mdogo wengi walikua wanasifia tu bila ufafanuzi na si kutoa mafanikio na changamoto,,,, mfano kuna bnti alijitambulisha kama katibu wa uvccm mahala fulan badala...
Saida yuko vizur ni mwanamuziki ila promo anayopata na game la sasa sidhan ka ataweza himili wanamtwika mzigo mkubwa ambao hawezi yuko lakin kwa sasa nafasi yake haipo,,,,,,, ka mnakumbuka hao mawingu walishikia bendera singeli hadi akina man fongo wakatamba kutaka kuupeleka muziki huo nje kwa...
Ndo tatizo lenu wabunge wa viti maalum uwezo mdogo na mnatumika kwa niaba ya chama na watu fulan kama ungekua umepambana kwa jimbo sidhani ka ungepeleka hoja ka ile ya kudai adhabu hamfai Hakika,,,,,hvyo unatafuta kuaminika kwa chama
Huna hoja na ingependependeza ungepigwa japo vibao akili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.