Hakuna ridhaa hapo. Ukimtoa damu in lazima amweleze dhahiri sababu ya kufanya hivyo. Kwa hiyo nakushauri uanze na kuomba ridhaa yake na umpe ushauri nasaha.
Moja ya majukumi ya kiongozi was kiroho ni kukemea maovu. Makondacta anatuhumiwa kutumia vyeti visivyo vyake(forgery). Kwa hiyo Gwajima yupo sawa kwa anachokifanya. Pamoja hilo dini na siasa vitu ambavyo huwezi kuvitenganisha kwani they are in the same coin!
Kibonde amezoea kukiuka maadili ya utangazaji kwenye vyombo vya habari vya umma. Mara anawashambulia watu kwa jazba na upendeleo mkubwa kitu ambacho sio sawa kwa mtangazaji wa radio. Juzi nilimsikia aking'aka kuwa " anaeuliza vyeti akamuulize mama yake mzazi amuoneshe vyeti" Kwa kufanya...
ITV huko nyuma walijenga imani kubwa sana kwa RAIA, lakini kwa mwenendo huu mlioonesha karibuni hapa mnatia mashaka sana. Sasa sijui watz tukimbilie wapi.jifunzeni kusimamia mnachoamini!
Mleta mada ndio mchochezi kwani gazeti halioneshi chochote kuhusu kufutwa mradi huu wa bomba LA mafuta. Mleta mada angeandika hivi; kuwa kulikuwa na tishio LA mradi kukwama baada ya serikali ya Tz kutaka tozo ya usafirisha ipande.
Serikali ilipaswa kwenda hatua kwa hatua; kwanza kusitisha uzalishaji viwandani pia uingizaji wa viloba kutoka nje. Na hatua ya kupiga marufuku matumizi ya viroba ingefuata. Najiuliza, serikali inawezaje kupiga marufuku wakati viwandani bidhaa hiyo ilikuwa bado inatengenezwa kihalali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.