Kwa sasa hakuna chama cha Upinzani chenye nia na uwezo kutwaa dola, masihara yamezidi

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
15,997
Huu ndio ukweli mchungu kwa sasa Tanzania hakuna chama upinzani kinachoonyesha umakini kutwaa dola kimkakati au chenye ajenda endelevu inayogusa maisha ya kila siku ya Mwananchi.

Vyama vya upinzani badala ya siasa za masuala sasa wamehamia "siasa katuni" zenye nia ya kuburudisha au kichaka cha kupooza hasira au ngao ya kuficha waovu kwa kauli kuwa "tunaonewa"

Hakuna chama cha Upinzani kinachotengeneza viongozi badala yake wanaoteza watu eti kwa kisingizio "kuongeza idadI ya wapiga kura" sasa ni nani wamemuandaa apimwe kura?au wapiga kura siku hizi wote ni mateja?

Labda tujiulize hao wanaochukuliwa kwa mamilioni ya ruzuku wana sifa za uongozi?

Hapa ndipo ni nakubaliana na kauli ya Lowassa ya tar.30.5.2015 kwamba "hata katika kipindi hiki ambacho Watanzania wanataka mabadiliko bado CCM ndicho chama pekee kinachoweza kuleta mabadiliko"

UKweli bado ni kuwa vyama vya upinza ni vipo kwa mujibu wa sheria bila tija.
 
Huu ndio ukweli mchungu kwa sasa Tanzania hakuna chama upinzani kinachoonyesha umakini kutwaa dola kimkakati au chenye ajenda endelevu inayogusa maisha ya kila siku ya Mwananchi.

Vyama vya upinzani badala ya siasa za masuala sasa wamehamia "siasa katuni" zenye nia ya kuburudisha au kichaka cha kupooza hasira au ngao ya kuficha waovu kwa kauli kuwa "tunaonewa"

Hakuna chama cha Upinzani kinachotengeneza viongozi badala yake wanaoteza watu eti kwa kisingizio "kuongeza idadI ya wapiga kura" sasa ni nani wamemuandaa apimwe kura?au wapiga kura siku hizi wote ni mateja?

Labda tujiulize hao wanaochukuliwa kwa mamilioni ya ruzuku wana sifa za uongozi?

Hapa ndipo ni nakubaliana na kauli ya Lowassa ya tar.30.5.2015 kwamba "hata katika kipindi hiki ambacho Watanzania wanataka mabadiliko bado CCM ndicho chama pekee kinachoweza kuleta mabadiliko"

UKweli bado ni kuwa vyama vya upinza ni vipo kwa mujibu wa sheria bila tija.
Kila mtanzania ana haki ya kuwa mwanachama wa chama chochote kwa hiyari yake na ana haki pia ya kupokelewa ,na hayo mabadiliko unayo dai wewe yanatoka ccm hata mimi nakuunga mkono kabisa maana hata mabadiliko ya kurudi nyuma kimaendeleo ni mabadiliko pia.
 
Huu ndio ukweli mchungu kwa sasa Tanzania hakuna chama upinzani kinachoonyesha umakini kutwaa dola kimkakati au chenye ajenda endelevu inayogusa maisha ya kila siku ya Mwananchi.

Vyama vya upinzani badala ya siasa za masuala sasa wamehamia "siasa katuni" zenye nia ya kuburudisha au kichaka cha kupooza hasira au ngao ya kuficha waovu kwa kauli kuwa "tunaonewa"

Hakuna chama cha Upinzani kinachotengeneza viongozi badala yake wanaoteza watu eti kwa kisingizio "kuongeza idadI ya wapiga kura" sasa ni nani wamemuandaa apimwe kura?au wapiga kura siku hizi wote ni mateja?

Labda tujiulize hao wanaochukuliwa kwa mamilioni ya ruzuku wana sifa za uongozi?

Hapa ndipo ni nakubaliana na kauli ya Lowassa ya tar.30.5.2015 kwamba "hata katika kipindi hiki ambacho Watanzania wanataka mabadiliko bado CCM ndicho chama pekee kinachoweza kuleta mabadiliko"

UKweli bado ni kuwa vyama vya upinza ni vipo kwa mujibu wa sheria bila tija.
mapema leo mwanadada mashuhuri na mwenye wafuasi wengi huko mitandaoni mwenye mvuto na na high convicing power kwenye jamii ameanzisha kampeni aliyoipa jina la [HASHTAG]#wemaulipotupo[/HASHTAG] ,kampeni hiyo inaonekana kuzaa matunda ambapo tayari wafuasi wake(wapiga kura wa 2020)wameonyesha kufuata kile alichokimaanisha kwa kucoment kuungana naye katika safari ya kumfuata mlimbwende mwenye haiba matata ya kumvutia kila mtu wema sepetu. inawezekana kabisa ccm isitegemee tena kusaidiwa na wasanii sababu mhimili wa wasanii hao umeondoka ccm. wema leo aliwananga ccm kuwa wasanii walilipwa pesa nyingi na ni mtindo wa ccm kuwapa vipesa wasanii ili wafanikishe azma yao isiyokuwa na heri kwa watz.
mimi nikiwa mmoja wa wasomaji wakubwa wa post za mwanadada mange nasema si mange wala wema hawapaswi kupuuzwa kwakuwa wanaaminika na mamilioni ya mashabiki wao. yawezekana hii ikawa ni karata bora kwa ccm kuangukia pua 2020 sababu habari zilizopo chini ya kapeti huko lumumba kuna vita kali sana ya chini kwa chini huku yule jamaa aliyepita akionekana kuwa na ushawishi japo hayupo tena kwenye system
 
mapema leo mwanadada mashuhuri na mwenye wafuasi wengi huko mitandaoni mwenye mvuto na na high convicing power kwenye jamii ameanzisha kampeni aliyoipa jina la [HASHTAG]#wemaulipotupo[/HASHTAG] ,kampeni hiyo inaonekana kuzaa matunda ambapo tayari wafuasi wake(wapiga kura wa 2020)wameonyesha kufuata kile alichokimaanisha kwa kucoment kuungana naye katika safari ya kumfuata mlimbwende mwenye haiba matata ya kumvutia kila mtu wema sepetu. inawezekana kabisa ccm isitegemee tena kusaidiwa na wasanii sababu mhimili wa wasanii hao umeondoka ccm. wema leo aliwananga ccm kuwa wasanii walilipwa pesa nyingi na ni mtindo wa ccm kuwapa vipesa wasanii ili wafanikishe azma yao isiyokuwa na heri kwa watz.
mimi nikiwa mmoja wa wasomaji wakubwa wa post za mwanadada mange nasema si mange wala wema hawapaswi kupuuzwa kwakuwa wanaaminika na mamilioni ya mashabiki wao. yawezekana hii ikawa ni karata bora kwa ccm kuangukia pua 2020 sababu habari zilizopo chini ya kapeti huko lumumba kuna vita kali sana ya chini kwa chini huku yule jamaa aliyepita akionekana kuwa na ushawishi japo hayupo tena kwenye system
Chama Chochote imara lazima kuwe na msu guano ukiona wote "mnajidai" mnakubaliana kwa kila jambo hapo ni dhahiri mmoja ni taahira
 
Naomba kueleweshwa tu kama chadema ni chama cha wahalifu au la.

Kila anayetuhumiwa ndani ya ccm kwa uhalifu uwe ni ufisadi au dawa za kulevya utamsikia anakimbilia chadema. Ni vema Chadema mkajitafakari kabla ya Watanzania kufanya uamuzi juu yenu mwaka 2020 na kujikuta hampati hata 5% ya wapiga kura wote.

Si kila ndege huliwa la hasha wengine wana sumu kali.
 
Naomba kueleweshwa tu kama chadema ni chama cha wahalifu au la.

Kila anayetuhumiwa ndani ya ccm kwa uhalifu uwe ni ufisadi au dawa za kulevya utamsikia anakimbilia chadema. Ni vema Chadema mkajitafakari kabla ya Watanzania kufanya uamuzi juu yenu mwaka 2020 na kujikuta hampati hata 5% ya wapiga kura wote.

Si kila ndege huliwa la hasha wengine wana sumu kali.
Swali zuri hili
 
CCM ndio chama pekee ambacho kina mfumo mathubuti Kuanzia
Mchakato wa kupata mgombea cheki demokrasia ya pale vyombo vya habari vyote.
CCM wanaandaa viongozi wengi wazalendo
CCM inapendwa na watu wengi
CCM ina mitandao mipana. Japo wapinzani hawataki kuamini
CCM wameonyesha kubadilika kila mara
Kwa akili za kawaida tu CCM ndio tanzania
Ule upepo wa mwaka Jana magufuli anakwenda kushinda tena 2020. Ni Habari mbaya ambayo mpinzani yoyote asingenda aisikie Lakini ndio ukweli kwamba CCM wataendelea kutu tawala Kwa miongo kadhaa
 
Huu ndio ukweli mchungu kwa sasa Tanzania hakuna chama upinzani kinachoonyesha umakini kutwaa dola kimkakati au chenye ajenda endelevu inayogusa maisha ya kila siku ya Mwananchi.

Vyama vya upinzani badala ya siasa za masuala sasa wamehamia "siasa katuni" zenye nia ya kuburudisha au kichaka cha kupooza hasira au ngao ya kuficha waovu kwa kauli kuwa "tunaonewa"

Hakuna chama cha Upinzani kinachotengeneza viongozi badala yake wanaoteza watu eti kwa kisingizio "kuongeza idadI ya wapiga kura" sasa ni nani wamemuandaa apimwe kura?au wapiga kura siku hizi wote ni mateja?

Labda tujiulize hao wanaochukuliwa kwa mamilioni ya ruzuku wana sifa za uongozi?

Hapa ndipo ni nakubaliana na kauli ya Lowassa ya tar.30.5.2015 kwamba "hata katika kipindi hiki ambacho Watanzania wanataka mabadiliko bado CCM ndicho chama pekee kinachoweza kuleta mabadiliko"

UKweli bado ni kuwa vyama vya upinza ni vipo kwa mujibu wa sheria bila tija.


Ccm yenyewe ipo icu mawazir timu wema na timu stive masihara wema kuhama
 
CCM ndio chama pekee ambacho kina mfumo mathubuti Kuanzia
Mchakato wa kupata mgombea cheki demokrasia ya pale vyombo vya habari vyote.
CCM wanaandaa viongozi wengi wazalendo
CCM inapendwa na watu wengi
CCM ina mitandao mipana. Japo wapinzani hawataki kuamini
CCM wameonyesha kubadilika kila mara
Kwa akili za kawaida tu CCM ndio tanzania
Ule upepo wa mwaka Jana magufuli anakwenda kushinda tena 2020. Ni Habari mbaya ambayo mpinzani yoyote asingenda aisikie Lakini ndio ukweli kwamba CCM wataendelea kutu tawala Kwa miongo kadhaa
Kuna ukweli hapa
 
Back
Top Bottom