Gwajima achukuliwe hatua za kisheria

Gwajima achukuliwe hatua za kisheria

Aliyeanzisha huu uzi nae achukuliwe hatua za kisheria.
Huyu jamaa ameleta uzi wa maana sana!
Nadhani kwa tahadhari hii, wale wote wanaolia na Bashite wajue kuwa siku zao zinahesabika!
kinachosemwa kuwa kusimamisha mahubiri na kuanza kupambana na mtu kwa kutumia jina la taasisi kunaweza kumgharimu askofu!
kuna vitu unaweza usipende kuvisikia lakini kwa hili lililoporomoshwa hapa ni la kujiandaa nalo!
kwa kutumia similar platform miaka kadhaa askofu aliingia utata na kiongozi mwenzie wa kiroho na ikasemekana kuwa ametumia vibaya jukwaa lake!
kulikoni kumzogoa mleta uzi ni vema mngemuomba kiongozi wenu ajitazame upya!
 
Kwanza anza na kuhakiki mali za makonda na GSM wakwepa kodi, kisha fanya hivyo kwa makanisa yote mpaka kwa Pengo, huoni Aibu kuwa makonda alimchokoza Gwajma ndipo akaamua kujihami sasa unaendelea kubuni vitu vya kumkomoa? Acha hizo nenda kamkataze makonda boss wako aache kuwabambikia kesi watu kwa chuki na wivu.
Siyo kumkomoa! It is a simple logic. If you can't befriend me anymore, why should I continue offering any favour to your operations? Ukianza kusema Ooh wengine mbona hufanyi hivyo, Ooh mathehebu yote! That can't work!

Btw. tunafaidika na madhehbu mengine. Wanajenga shule, hospitali, wana mashirika ya misaada na kulea watoto yatima, etc. How is this man useful for our Nation? Kuponya wagonjwa? Kuponya! What a hell in this century!
 
Yan mada yako ni uongo mtupu eti uchochezi elezea uchochezi upi,violating laws?which law?yan unatoa mada unauwezo mdogo kama mtoto wa darasa la 4 shame on you
Mleta mada ni mjinga mjinga njaa mbaya sana, kapewa vicent kajitoa fahamu kaja na mbinu ya kishamba akiamini itamziba mdomo Gwajma.
 
blah, blah, blah...vipi na yule anayevunja katiba ya nchi aiyoapa kuilinda na kuitetea? Kama sheria mama imeshavunjwa, hivyo visheria uchwara vina nguvu gani? Vipi na kwa mwizi wa jina na mfojaji wa cheti, sheria inasemaje?
Naapa nitasemakweli daima Uongo /Fitina kwangu Mwiko. Kiapo Na Ahadi zetu enzi ya Chipukizi.
 
Moja ya majukumi ya kiongozi was kiroho ni kukemea maovu. Makondacta anatuhumiwa kutumia vyeti visivyo vyake(forgery). Kwa hiyo Gwajima yupo sawa kwa anachokifanya. Pamoja hilo dini na siasa vitu ambavyo huwezi kuvitenganisha kwani they are in the same coin!
 
Mjomba be properly informed that kuna taasisi ambazo zipo kisheria zinazohusika na masuala ya kutoe vyetu na kuhakiki vyeti. Pia kama kuna criminal element ktk suala hilo la vyeti kuna investigation machinery(police force) for that purpose. Gwajima hahusika and he is a layman in that field. Anachofanya ni majungu ya kipuuzi na ya kitoto. I have serious doubt on his maturity.
sio maturity..mental yake haiko sawa. ni kama mchawi amewageuza wafuadi wake mazezeta.
 
Mimi kama mwanasheria nashangaa sana kuona Gwajima na taasisi yake haguswi na vyombo vya dola wakati yeye na taasisi yake wanavunja sheria za nchi. Hiyo taasisi ifutwe.Gwajima akamatwe. Laws must be enforced without discrimination.
Wewe ni mwanasheria kweli? Sijaona sehemu ambayo umetaja kifungu cha sheria ya nchi ambacho kimevunjwa/kimekiukwa na Gwajima. Eleza kosa la Gwajima ni lipi ili na wengine ambao sio wanasheria kama wewe tujue.
 
Ndug rekebisha maandiko yako baki na rugha 1 tu kama unaamua kutumia english bac iwe ni english na kama kiswahili bac baki na kiswahili
 
Unajua njia rahisi ya kumkomesha jamaa huyu anayejiita mtumishi wa Mungu? Tunapeleka auditors. Kisheria madhehebu yote ya kidini na taasisi za kiraia zinatakiwa kufanyiwa Audit. Nahisi Gwajima anatumia pesa za kondoo wake kama ni mali yake.

Hatafika mbali, si umemuona Kakobe?
Kwani Kakobe yuko karibu?
 
Gwajima kawachota walio wajinga tu.
... Ila kusema kweli kama inatokea mtu kuweza kushawishi na kuwa na maelfu ya wafuasi basi huo ni ujinga mzuri. Kuna maprofesa hata kushawishi watu 100 ni mtihani...
 
Kama wewe umetega siku moja nawe ni muumini wake mzuri sema tu umejificha uso

Huo muda sina kabisa, tena kabisaaaaaa tanguuu. Mengi juu yake nilianza kusoma humu zamani na kuacha kumsoma. Ukiona nimecomment jua kichwa cha habari kinanipelekea kufanya hivyo.

Bwana asifiwe
 
Mimi kama mwanasheria nashangaa sana kuona Gwajima na taasisi yake haguswi na vyombo vya dola wakati yeye na taasisi yake wanavunja sheria za nchi. Hiyo taasisi ifutwe.Gwajima akamatwe. Laws must be enforced without discrimination.
Bashite keshachukuliwa hatua au mmeanza propaganda zenu kama Kawaida yenu fisiemu
 
Ni kweli, Gwajima achukuliwe hatua na vyombo vya dola. Bashite achukuliwe hatua za miguu.
 
Ndug rekebisha maandiko yako baki na rugha 1 tu kama unaamua kutumia english bac iwe ni english na kama kiswahili bac baki na kiswahili
Malimbukeni waathirika wa Lugha ya mkoloni ndiyo hupenda kuandika kingereza wakiamini kuandika kingereza ni usoni pia ni ujanja, wamesahau kuwa wapo Raia wa Uingereza wanajua kingereza lakini hawakwenda shule wazaliwa wa London wengi si wasomi lakini wanazungumza kingereza.
 
hii inashangaza sana, watu wanaamka asubuhi jumapili wakapate neno la Mungu, cha kushangaza mchungaji anamwaga ubuyu tu!
 
Mjomba be properly informed that kuna taasisi ambazo zipo kisheria zinazohusika na masuala ya kutoe vyetu na kuhakiki vyeti. Pia kama kuna criminal element ktk suala hilo la vyeti kuna investigation machinery(police force) for that purpose. Gwajima hahusika and he is a layman in that field. Anachofanya ni majungu ya kipuuzi na ya kitoto. I have serious doubt on his maturity.
Nakubaliana nawe
 
Back
Top Bottom