Mke wangu anajamba jamba sana mpaka najiuliza kulikoni

Ok aisee pole sana vp labda anahitaji umzibue mafla awe huru asiwe anapata tabu ya kujamba kwa sauti atoe yusuphhhhhh
 
Kujamba inaonekana limeanza kua tatzo la kudumu kwenye ndoa nying maana thread nying zinalalamikia hilo swala
Kwani hiyo si ni njia ya kujisaidia? Kiafya linaruhusiwa,,,ila issue tu ni kwamba unajisaidiaje bila kuwa kero kwa mwenzako,,,lakini kwa wanandoa ni kuvumiliana tu,,,wala sio issue kubwa. Bora tu asifanye hivyo mbele za watu wengine,,,
 
Yaani! Hii kero naisikia hapa nchini kwetu tuu...Jamani wenzetu wakisikia hii kero sijui wanatuchukuliaje sie.
 
Mkuu huyo atakuwa anavidonda vya tumbo, tumbo linajaa gesi, mimi mwenyewe imeshanitokea, nikuwa najamba sana, hasa usikuwa ukiwa umelala, its normal wala usimshangae, mwambie atumie magnesium pamoja ant acid. itaisha
 
Elimu ya wazee wa zamani ni muhimu (Jando na Unyago), Wazungu walisema mila zetu zote ni za kishenzi lakini zingine zilikuwa zinatusaidia sana! hapa angekuwa amepata elimu ya Jando wala tusingeona hii thread
 
Nina mwaka wa nne sasa kwenye ndoa yangu. Mimi na mke watu tuna watoto wawili, ila kuna jambo ambalo ashakum si matusi limekuwa likinipa kero sana na kuwa na maswali mengi. Mke wangu anapenda kujamba, jamani acheni kabisa, yaani anajamba kwa nguvu zote na kwa kujisikia raha sana, nimejaribu kumwambia kuwa hiyo hali inanipa kero lakini wala haelewi.

Na jambo hili halitegemei kala nini awe amekunywa mchemsho au chips atajamba.awe amekula maharagwe au kunde atajamba. Awe amekula wali samaki atajamba, si mchana si usiku, ye muda wote ni hali hiyo, nimejaribu kuangalia sehemu yake ya haja kubwa kama pengine inaweza kuwa wazi au sijapata uthibitisho wowote bado.

Lakini nachoshangaa ni kuwa anapotaka kufanya jambo hilo huwa kabisa anajiandaa na kubinua makalio yake huku akikenua meno kana kwamba anafanya jambo la busara, raha na la kustahili sifa, yaani ana enjoy sana hilo jambo, lakini starehe yake kwa wengine ni kero. Nisaidieni ana tatizo gani au nimsaidie vipi asiwe anafanya jambo hilo, too much is harmful.
Vipi shuzi lake linanuka ama?!tuanzie hapo kwanza
 
Back
Top Bottom