Mpunilevel
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 3,140
- 1,871
Inawezekana kweli Gwajima anatumia ganja haiwezekani kiongozi wa kiroho akawa hovyo kiasi hicho.
Nakubaliana na Kibonde 100%
Nakubaliana na Kibonde 100%
Leo asubuhi Kibonde amesikika akimkashifu Askofu Gwajima Kwamba anatumia Ganja,mimi navyoona amekifanya chombo chenu hakina maadili kwa sababu yeye mwajiriwa wa Clouds media,
Kama angetaka kuweka uwanja sawa angetoa maada kwa wananchi inayohusu kutumia vyeti ambavyo siyo vyako ni kosa au la,Wananchi ndiyo wajadili sasa mwendesha kipindi mwenyewe anapoanza kukashifu inamaanisha nini?
Clouds media huyo Kibonde unawaharibia,Siamini kabisa Kama Gwajima akiamua kufungua kesi atamfungulia Kibonde peke yake,ataifungulia Clouds media kwa sababu Kibonde ni mwajiriwa wa Clouds.
Kwa ushauri tu ingekuwa bora Kibonde angemwalika Makonda kwenye hicho kipindi ndiyo atoe majibu,hata kama atamkashifu Gwajima hawezi kuwagusa Clouds kwa sababu siyo mwajiriwa wa hapo,
Mnakumbuka yule Dada aliyeleta Mashoga kwenye kipindi chake nani alilipa faini na kuambiwa muombe radhi,Kwa nini asiyambiwe yule dada.Bro Ruge hili suala liangalie kwa jicho la pili,naishia hapa Najua Gwajima hizi tarifa anazo ila mungu ampe hekima na busara Kuhusu suala hili la Kibonde.
Na wewe mkuu umekosa media ya kusikiliza au kuangalia mpaka uende MAWINGU .Leo asubuhi Kibonde amesikika akimkashifu Askofu Gwajima Kwamba anatumia Ganja,mimi navyoona amekifanya chombo chenu hakina maadili kwa sababu yeye mwajiriwa wa Clouds media,
Kama angetaka kuweka uwanja sawa angetoa maada kwa wananchi inayohusu kutumia vyeti ambavyo siyo vyako ni kosa au la,Wananchi ndiyo wajadili sasa mwendesha kipindi mwenyewe anapoanza kukashifu inamaanisha nini?
Clouds media huyo Kibonde unawaharibia,Siamini kabisa Kama Gwajima akiamua kufungua kesi atamfungulia Kibonde peke yake,ataifungulia Clouds media kwa sababu Kibonde ni mwajiriwa wa Clouds.
Kwa ushauri tu ingekuwa bora Kibonde angemwalika Makonda kwenye hicho kipindi ndiyo atoe majibu,hata kama atamkashifu Gwajima hawezi kuwagusa Clouds kwa sababu siyo mwajiriwa wa hapo,
Mnakumbuka yule Dada aliyeleta Mashoga kwenye kipindi chake nani alilipa faini na kuambiwa muombe radhi,Kwa nini asiyambiwe yule dada.Bro Ruge hili suala liangalie kwa jicho la pili,naishia hapa Najua Gwajima hizi tarifa anazo ila mungu ampe hekima na busara Kuhusu suala hili la Kibonde.
Leo asubuhi Kibonde amesikika akimkashifu Askofu Gwajima Kwamba anatumia Ganja,mimi navyoona amekifanya chombo chenu hakina maadili kwa sababu yeye mwajiriwa wa Clouds media,
Kama angetaka kuweka uwanja sawa angetoa maada kwa wananchi inayohusu kutumia vyeti ambavyo siyo vyako ni kosa au la,Wananchi ndiyo wajadili sasa mwendesha kipindi mwenyewe anapoanza kukashifu inamaanisha nini?
Clouds media huyo Kibonde unawaharibia,Siamini kabisa Kama Gwajima akiamua kufungua kesi atamfungulia Kibonde peke yake,ataifungulia Clouds media kwa sababu Kibonde ni mwajiriwa wa Clouds.
Kwa ushauri tu ingekuwa bora Kibonde angemwalika Makonda kwenye hicho kipindi ndiyo atoe majibu,hata kama atamkashifu Gwajima hawezi kuwagusa Clouds kwa sababu siyo mwajiriwa wa hapo,
Mnakumbuka yule Dada aliyeleta Mashoga kwenye kipindi chake nani alilipa faini na kuambiwa muombe radhi,Kwa nini asiyambiwe yule dada.Bro Ruge hili suala liangalie kwa jicho la pili,naishia hapa Najua Gwajima hizi tarifa anazo ila mungu ampe hekima na busara Kuhusu suala hili la Kibonde.
Mpenda chongo kwake ni kengezaPamoja na yote CLOUDS ni radio bora na wabunifu hakuna mfano kwa Tz..Naipenda Clouds!
Fa fa fa fa...yaani zero yaani, kwa lugha ya kisasa Bashite!Mwenye cv ya kibonde atujuze tafadhali,,
mkuu Kiswahili huwa ni lugha ngumu sana kujifunza,watanzania tumezaliwa ndani ya hii lugha lakini bado Napata mshituko nikiona watu bado wanapata ukakasi ktk kuiongea,hapo nadhani ungeiweka hiyo clip ya Kibonde tungekusaidia kwa ushauri aliitoa as a joke au alimaanisha,mambo mengine tunatakiwa kuwa makini kidogo kukurupuka,
a
na yeye Makondakta kwa nini asiweke vyeti?Gwajima hatumii ganja tu, madawa, analala na wake za watu, kawa mchawi anatuma mapepo yaende kwa mtu na Mungu asivyokuwa mnafiki, pepo likagoma, jamaa akasema liende kwa watoto wake!!
Gwajima sio mchungaji hafanani na Yesu kwa namna yeyote ile, Kibonde kamheshimu sana kusema anavuta ganja!! jamaa anatumia kila kitu sio ganja tu
kama ni mchungaji wako pole!
kama ishu ya vyeti wiki ya tatu sasa anaongea haoni aibu mkuu wa mkoa yupo
hajaweka evidence yoyote ile anaongea tu
siku ile Gwajima alipogombana na slaa alionyesha mpaka meseji!!! this time anaongea tu! ebu kueni basi...MATAPELI wanaishi kweli
hujagundua tu kuwa hata wewe unatumia bila kujua?
Changia hoja hapa siyo fbMwacheni kibonde aonge na familia yake yenu si ipo ubungo kila jumapili
Huyo kibondemaji ndio ana kashfa kibaoKibonde anakifua..?? Atakiona cha mtemakuni
Binafsi hawa jamaa na wa dharaaaaauuuuuuuuu sanasiku hizi kibonde anatangaza asubuhi!
Nilizoea kumsikia jioni!
Vizuri majizo wa efm akafika mpaka mikoani hao ndio watajimaliza wenyewe
Zamani ilikuwa huwezi simama useme umesikiliza radio bila kutaja radio free ila muda ukafika nao wakawa hawavumi tena
Sasa na hao ujuha mwingi mpaka wanaharibu
Labda wabunifu kwako nyumbaniPamoja na yote CLOUDS ni radio bora na wabunifu hakuna mfano kwa Tz..Naipenda Clouds!