Waswahili wango hâta mimi yalinikuta kama hayo baada ya kujenga nyumba kule mbagala kwa mangaya walikuja watu na vitisho kama hivyo nilianza kutishika lakini baadae nikajipa moyo nikahamia sijaona chochote mpaka leo
Yohana 18:18 ...mtakalofunga duniani limefungwa na mbinguni na mtakalofungua duniani litafunguliwa mbinguni ....
Hata Akina kibwetere walisema walitumia vifungu Kama hivyo hapo juu kuhararisha uovu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi nilikwisha ugua ugonjwa huu daktari mmoja bingwa wa magonjwa ya ngozi aliniabia hiyo ni kansa lakini nilitumia dawa rahisi Sana GENTRSON miaka sita iliyopita nimepona kabisa
<br /><br />Wewe unavyoona kwa bunge hili kuna uwezekano wa kumuwajibisha rais kupitia bunge....!!??<br /><br />Ukilitazama bunge hili.....
Labda yule mdada Naibu speaker asiwepo mle bungeni
Vyama vya wafanyakazi mko wapi?
You are telling us solidarity forever!!
Which kind of solidarity while people are suffocating??
Sent from my HUAWEI Y360-U82 using JamiiForums mobile app
Kujiunga na chama cha Freemason tz ili uwe tajir Piga namba zifuatazo utaongea nao Na kupewa maelekezo, 0689701625,0621427735,0712854564
Haziko hewani
Sent from my HUAWEI Y360-U82 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.