Baada ya ya rais Pierre Nkurunzinza kuvunja katiba na kugombea urais kwa mhula wa tatu hali ya usalama nchini Buriudi imekua sio nzuri.
Uchaguzi uliomuweka madarakani Nkurunzinza ulilaumiwa vikali na jumuiya za kimataifa kuwa sio wa huru na wa haki kwani ulivunja katiba na kukiuka sheria za nchi...
Hali sio nzuri baada ya kuadimika kwa condom hapa nchini.
Yote hii ni sababu ya misaada kukatishwa.
Raia mnapaswa mjiongeze msifanye ngono kwa kipindi fulani mpaka misaada itakapoanza kuja tena.
Sasa ndugu zangu mchague mawili kifo cha UKIMWI au kuvumilia ukame kwa muda fulani.
Pia baadhi ya...
Unamsaidiaje mtu alie nchi za watu mbali kabisa na Tanzania ambae hana nauli na uwezo wa kupata pesa hana kwani hana shughuli ya kujipatia kipato?
Je ni njia gani reliable za kupokea hela mfano akichangiwa hapa bila kizuizi kwa nauli inayozidi 1500USD?
Pengine viwanja vya ndege vingekua vinatoa...
Kuzaa nje ya ndoa si dhambi kwa dini ya kiislamu?
Kwanini asiowe halafu kama hamtaki tena huyo mwanamke ampe talaka kwani kwa waislamu ina ruhusiwa kutoa talaka?
Kimsingi Zanzibar hawataki huu muungano kwao ni kero.
Waliwahi kutaka kushiriki michuano ya kimataifa wao kama Zanzibar na sio Tanzania hapa nazungumzia mpira.
Wazanzibar waliwahi kufungua kesi mahakamani wakiwa kundi la watu 40,000 sijui kesi yao iliishia wapi.
Kwenye michuano ya secafa...
Pole sana ndugu wewe kuna kitu unacho hao watu wanakitaka na sio wema moja kwa moja.
1.Njia pekee ya kujua mawazo ya mtu na kilicho moyoni mwake ni kwa kumtumia Mwenyezi-Mungu au kwa wale washirikina hutumia pepo ambalo huwaambia kita kitu anachofanya mtu, kilichopo moyoni mwake yani kwa msingi...
Pole sana mkuu nikuambie tu msingi wa matatizo yote ya dunia hii ni dhambi.
Hiyo laana inayowatafuna ndugu zako ni dhambi za wazazi na wazee wenu maana zinawatafuna hadi kizazi cha nne.
Pengine wewe una baraka za mzaliwa wa kwanza (Sio lazima uwe umezaliwa wa kwanza kiuzao bali ni kiimani) kwa...
Mwisho wa hawa madikteta ni kifo kibaya sana...
Yuko wapi Tsar wa Russia? yuko wapi dikteta wa romania? wapi hitler, mussolini, mao, stalin, lenin, Habyarimana, mobutu, iddia amin n.k
1.Fungu la kumi linahitajika kama shukrani kwa MUNGU mkuu nakushauri usome biblia vizuri.
3, Nabishana na wewe.
Mungu kamuumba binadamu ili amtumikie na kumpa uhuru wa kuchagua yeye mwenyewe.
Hata Yesu alifunga kwa hiyo utaona maombi ni muhimu.
Ufalme wa mbingu unapatikana vigumu ndugu so...
1.Okoka mkabidhi MUNGU maisha yako kamwe hakuna machawi atakae kusogelea ni njia sahihi kwa asilimia 100%.
Ukilitaja jina la YESU ni dawa dhidi ya pepo.
2.Nyunyiza chumvi ya mabonge mabonge kwenye makazi yako kwa mfano chumbani, sebuleni shambani, kazini mwako n.k mchawi hawezi sogelea hayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.