Nahitaji msaada wa kiroho

Nahitaji msaada wa kiroho

Una stress za kukosa hela sasa umeanza kua delusional.
 
Mpenzi, kwakua umesema upo dodoma hebu anzia hospital mirembe kwanza kwa madaktari wa magonjwa ya akili then ikishindikana tafuta msaada wa kiroho kama ulivyosema, siku hizi watu wengi wanaugua magonjwa ya akili bila wao kujitambua. Nenda kajaribu masuala ya kitabibu kwanza, Uzuri Doctors wanaoamini Mungu huwa wakiona kitu ambacho sio kawaida huwaambia ndugu wa mgonjwa ili wakajaribu mambo ya rohoni.

Ikiashindikana huko, i recommend you uende kanisa moja lipo maeneo ya Area A, near Matovolwa hosp, ukutane na mchungaji E. Manwele mueleze shida zako zote na historia yote atakupa huduma, mtaanza kwa kufunga hata kwa wiki na maombi mazito, Mungu atakufungua kutoka katika vifungo. Speaking of wachungaji, mchungaji wakweli haponyi, humsaidia kondoo wake kukua kiimani, kumjua Mungu zaidi, humfundisha neno na kumuelekeza kuenenda katika neno, kupitia haya ndipo uponyaji hupatikana, naye Mchungaji kwa kuwa ni mpakwa mafuta wa bwana basi huwa na kibali chakufikisha maombi ya kondoo wake wa Mungu. Ogopa wale wanajisifia miujiza na kuponya, na hasa katika kipindi hiki punguza kuwa desperate, Be careful na makanisa mengi unayoambiwa uende utapoteza pesa na muda mwingi maana huduma hii siku hizi imejaa makanjanja. Ila nakuomba sana ndugu anzia hospitali, All the best.
 
Mkuu pole sana,maadam uko hai ufumbuzi upo,YESU KRISTO ndio suluhisho wa hilo tatizo,Mathayo 11:28,inasema"njoni kwangu ninyi nyote msumbukao na kulemewa na mizigo nami nitawapumzisha...."kwa hiyo usikate tamaa,tafuta kanisa linalihubiri NENO la Mungu is kweli nenda hapo utubu DHAMBI na uombewe tatizo lako litakwisha,wala usikate tamaa...kwa maelezo zaidi njoo PM.
 
Unanichanganya sana katika maongozi yako, mara hao hao ndugu zako wako bega kwa bega na wewe na wanakwenda mpkaa kwa waganga hapo hapo unasema hao ndugu zako wana imani kubwa, sasa mtu mwemye imani inakuaje waende kwa waganga tena kama sio imani haba hiyo Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo umeshaenda hata kwa waganga nashindwa hata nikushauri, mtu mwenye imani kwa waganga ni mtu mbaya sana Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo umeshaenda hata kwa waganga nashindwa hata nikushauri, mtu mwenye imani kwa waganga ni mtu mbaya sana Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo umeshaenda hata kwa waganga nashindwa hata nikushauri, mtu mwenye imani kwa waganga ni mtu mbaya sana Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo umeshaenda hata kwa waganga nashindwa hata nikushauri, mtu mwenye imani kwa waganga ni mtu mbaya sana Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo umeshaenda hata kwa waganga nashindwa hata nikushauri, mtu mwenye imani kwa waganga ni mtu mbaya sana Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo umeshaenda hata kwa waganga nashindwa hata nikushauri, mtu mwenye imani kwa waganga ni mtu mbaya sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa usemacho lakini ilikuwa katika Hali ya kujaribu tu
 
Pole sana ndugu wewe kuna kitu unacho hao watu wanakitaka na sio wema moja kwa moja.

1.Njia pekee ya kujua mawazo ya mtu na kilicho moyoni mwake ni kwa kumtumia Mwenyezi-Mungu au kwa wale washirikina hutumia pepo ambalo huwaambia kita kitu anachofanya mtu, kilichopo moyoni mwake yani kwa msingi humfanya mtu mweupe kabisa mbele ya hilo pepo "Ukisikia pepo la utambuzi ndio hilo mkuu yani humpa mtu chohcote kile anachokiuliza". Sasa ndio wanakushikia hapa kwa hiyo ndugu yangu kuwa makini na sasa anza kuutafuta wokovu wa Mwenyezi-Mungu. Yesu Kirsto ni jibu na suluhisho la matatizo yote... Njia pekee ya kumshuhulikia shetani ni kumkabidhi kwa Yesu Kristo. Kwa hiyo okoka ndugu ili usishambuliwe tena na waovu...
Kama watajua mawazo yako na yaliyopo moyoni mwako usijali yatapita na utazoea hali so utaendelea na maisha yako kama kawaida

2.Ulivyokwenda kwa wachawi umeharibu kabisa kwani wabaya wako wana nguvu zaidi yako so umekwenda na maji. Uchawi hautakusaidia chochote kamwe kwani wachawi wamezidiana nguvu so utakwenda na maji.

NB: Mkabidhi MUNGU "Yesu Kristo" maisha yako awe mwanga na mkombozi wa maisha yako. Hiyo ndio njia pekee itakayokuokoa na wabaya wako wanaokuwinda namna hiy😵koka tafuta wachungaji wa kweli wakuombee kabla shetani hajakuteka.
 
Back
Top Bottom