Rais alisema wanaweza kutumia mizinga na mabomu wakita. Lakini alisema hata JKT wapo wa kutosha wanaweza kuzibangua kwa menoKwa nini kisitumike kikosi cha Mizinga kuzibangua hizo korosho.
"Kapinduliwa akiwa nje ya Nchi akipata matibabu" kumbe ndiyo maana Jiwe hataki kutoka Nchini akijua atakuta mwana si wakeJeshi nchini Gabon limetangaza kwamba limetekeleza mapinduzi ya serikali katika taifa hilo la Afrika Magharibi.
Wanajeshi wenye vifaru na magari ya kivita wanashika doria katika barabara za mji mkuu Libreville.
Amri ya kutotoka nje imetangazwa.
Tangazo kutoka kwa kundi la vijana wa umri wa makamo linatangazwa na kurudiwa katika kituo cha redio cha serikali nchini humo, ambapo wanasema kumekuwepo na wasiwasi kuhusu uwezo wa Rais Ali Bongo kuongoza nchi hiyo.
Wanakosoa pia viongozi wakuu wa jeshi nchini humo.
Bw Bongo amekuwa nje ya nchi hiyo kwa zaidi ya miezi miwili, akipokea matibabu nchini Morocco kutokana na maradhi ambayo hayajafichuliwa baada yake kuugua akiwa ziarani Saudi Arabia.
Familia ya Bongo imetawala taifa hilo kwa miaka 51 iliyopita, na imetuhumiwa kwa kujilimbikizia mali na utajiri mkubwa kutokana na rasilimali za taifa hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app
mao alikufaje?Mwisho wa hawa madikteta ni kifo kibaya sana...
Yuko wapi Tsar wa Russia? yuko wapi dikteta wa romania? wapi hitler, mussolini, mao, stalin, lenin, Habyarimana, mobutu, iddia amin n.k
Unajua Mapinduzi kawaida yanakaribisha madikteta?Safi sana.Hii ndio daawa ya madikteta.
Huyu mbona siku zake zinahesabikaLakini mbona Museveni anaongoza vizuri tu.
Lakini mbona Museveni anaongoza vizuri tu.
Watu kwenye utawala wanazidiana
Mu7 lzma atamuachia mtoto ama ndg yke
Mu7 anajua kucheza na waganda syo kama Hao wakina bongo
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Mu7 anajua kucheza na akili zaoWaganda walikua wanalalamika siku hizi m7 anawaita eti ni wajukuu zake.
Sent from my iPhone using JamiiForums