Jeshi nchini Gabon lapindua Serikali ya Ali Bongo

Jeshi nchini Gabon lapindua Serikali ya Ali Bongo

Mwisho wa hawa madikteta ni kifo kibaya sana...
Yuko wapi Tsar wa Russia? yuko wapi dikteta wa romania? wapi hitler, mussolini, mao, stalin, lenin, Habyarimana, mobutu, iddia amin n.k
 
Jeshi nchini Gabon limetangaza kwamba limetekeleza mapinduzi ya serikali katika taifa hilo la Afrika Magharibi.

Wanajeshi wenye vifaru na magari ya kivita wanashika doria katika barabara za mji mkuu Libreville.

Amri ya kutotoka nje imetangazwa.

Tangazo kutoka kwa kundi la vijana wa umri wa makamo linatangazwa na kurudiwa katika kituo cha redio cha serikali nchini humo, ambapo wanasema kumekuwepo na wasiwasi kuhusu uwezo wa Rais Ali Bongo kuongoza nchi hiyo.

Wanakosoa pia viongozi wakuu wa jeshi nchini humo.

Bw Bongo amekuwa nje ya nchi hiyo kwa zaidi ya miezi miwili, akipokea matibabu nchini Morocco kutokana na maradhi ambayo hayajafichuliwa baada yake kuugua akiwa ziarani Saudi Arabia.

Familia ya Bongo imetawala taifa hilo kwa miaka 51 iliyopita, na imetuhumiwa kwa kujilimbikizia mali na utajiri mkubwa kutokana na rasilimali za taifa hilo.


Sent using Jamii Forums mobile app
"Kapinduliwa akiwa nje ya Nchi akipata matibabu" kumbe ndiyo maana Jiwe hataki kutoka Nchini akijua atakuta mwana si wake
 
Mbona kuna wanaokanusha? Gabon haifanani kabisa na Tanzania. Let them deal with the laden of their own deeds
 
USA walilijua hilo
Wazungu wameona toilet paper haina kazi tena

Sent from my SM using Tapatalk
 
ALI BONGO, alizaliwa mama yake akiwa na miaka 15.

Baba yake, dikteta Omar Bongo Ondimba, alikuwa anafirigisa kisichana cha miaka 13, 14, akakitia mimba.

Kulala na watoto wadogo ni maadili machafu ya Kiafrika.
 
Back
Top Bottom