Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 33,947
- 54,240
Honey,I came over there but you were no where to be seen!Wewe mwongo
Honey,I came over there but you were no where to be seen!Wewe mwongo
mavi tena jamani nimecheka mno!! Ola kweli hawa wadada huo ndoo zao..ila kwanini mkishafikaga 26 ,mnahangaika sana ila mkiwa kwenye 20 mnatuona mavi
hatari sanaAcha roho mbaya sio nzuri tumeambizana so lazima mtu aje naye afanye yake.
haaaaaUkiwa muongo uwe na kumbukumbu haahaa umri wako unaonekana unakwenda kwa kasi sana ndani ya wiki umeongezeka miaka ya kutosha
kazi ipo bi dada si kwa vibe hilo!!Hizo ni shida zenu zangu mie za mme mmoja mnajaza watoto wawatu kama mnawaweza mwishoe mnawatekeleza sasa ulioa wengi ya nini kazi miisifa tu misiwataki.
Bora single kushinda kuolewa mke wa pili..
Tupia picha yako ya sura, na ya nyuma chini ya mgongo wako ni mhimu kwa kizazi hikiSina
Vp namba ya simuWapendwa mimi ni mgeni humu nakatika sifa zenu nyingi.
Nimeona nijaribu kutafuta bahati yangu.
Mimi ni mwanadada mwenye umri kuanzia 26-28 ni mlutherani.
Nimhitimu katika chuo cha veta.
Tofauti na hapo napambana na life.
Mimi ninatafuta mwanaume ambaye tutaishi vyema.
Tupendane nakusikilizana.
Tushauriane na kuwaza maisba.
Mimi nipo serious sana katima hili .
Elimu ni muhimu kwangu kwa sababu lazima uondoe ujinga.
Kazi pia ni muhimu awe nayo.
Umri ni 34- 38 naomba waje walioserious.
Kama mimi kwani nipo serious kiasi cha userious.
Nanimwanadada ninayejitambua nanina hitaji chaguo jema.
Kama upo serious unajua huu ndio muda wako sahihi wakuwa nafamilia njoo tuyajengee.
Nipo northzone.
Wapendwa mimi ni mgeni humu nakatika sifa zenu nyingi.
Nimeona nijaribu kutafuta bahati yangu.
Mimi ni mwanadada mwenye umri kuanzia 26-28 ni mlutherani.
Nimhitimu katika chuo cha veta.
Tofauti na hapo napambana na life.
Mimi ninatafuta mwanaume ambaye tutaishi vyema.
Tupendane nakusikilizana.
Tushauriane na kuwaza maisba.
Mimi nipo serious sana katima hili .
Elimu ni muhimu kwangu kwa sababu lazima uondoe ujinga.
Kazi pia ni muhimu awe nayo.
Umri ni 34- 38 naomba waje walioserious.
Kama mimi kwani nipo serious kiasi cha userious.
Nanimwanadada ninayejitambua nanina hitaji chaguo jema.
Kama upo serious unajua huu ndio muda wako sahihi wakuwa nafamilia njoo tuyajengee.
Nipo northzone.[/QUOT
Una hela, ( namaanisha una nauli??)
Mimi natafuta mwanamke wa kudanga uko tayari??Wapendwa mimi ni mgeni humu nakatika sifa zenu nyingi.
Nimeona nijaribu kutafuta bahati yangu.
Mimi ni mwanadada mwenye umri kuanzia 26-28 ni mlutherani.
Nimhitimu katika chuo cha veta.
Tofauti na hapo napambana na life.
Mimi ninatafuta mwanaume ambaye tutaishi vyema.
Tupendane nakusikilizana.
Tushauriane na kuwaza maisba.
Mimi nipo serious sana katima hili .
Elimu ni muhimu kwangu kwa sababu lazima uondoe ujinga.
Kazi pia ni muhimu awe nayo.
Umri ni 34- 38 naomba waje walioserious.
Kama mimi kwani nipo serious kiasi cha userious.
Nanimwanadada ninayejitambua nanina hitaji chaguo jema.
Kama upo serious unajua huu ndio muda wako sahihi wakuwa nafamilia njoo tuyajengee.
Nipo northzone.
Tumeoa na michepuko ya kumwaga..Punguza kigezo cha umri kdg tuje
Kwa hyo miaka 34-38 wengi wameshaoa
Sent using Jamii Forums mobile app