Sasa Dr ashauriwe na nani? Si anasema hapangiwi cha kufanya. Halafu anataka aombewe mamlaka ya urais yasije yakampa kiburi [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Hivi wapo binadamu wanakosa aibu kwa kiwango hiki? siwaonei huruma hao wote waliofukuzwa lakini lakini mnapata wapi ujasiri waku waacha wengine kwa sababu yoyote ile? Huo ujasiri sio wa binadamu, binadamu huwa na aibu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.