Recent content by my country 1969

  1. M

    Paul Makonda, Kamanda Sirro, Mwakyembe na Mrisho Gambo, kesho mtakuwa wageni wa nani?

    Wakumbuke huyo mwajiri wao ana kinga ya kutofika kwa pilato mara baada ya madaraka kwisha, na wao wana kinga?
  2. M

    StarTV wasaliti agizo la Chama cha Wandishi wa Habari

    Mnashangaa nini? mnataka wawe tofauti na home boy? mmesahau kipindi cha uchaguzi?
  3. M

    CHADEMA kutegemea makongamano ni fedheha kubwa

    Walikuaga wanategemea mikutano ya hadhara.
  4. M

    Mbowe Umehusika kwa kiasi kikubwa kufutika kwa CHADEMA nchini

    Uko usingiiziini cdm imefutika? Ruhusuni kukutanika
  5. M

    Dr. Benson Bana: Rais alishauriwa vibaya kuhusu waliogushi vyeti

    Sasa Dr ashauriwe na nani? Si anasema hapangiwi cha kufanya. Halafu anataka aombewe mamlaka ya urais yasije yakampa kiburi [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
  6. M

    Orodha ya Watumishi wenye vyeti vya Kughushi...

    Fuatialia vya Bashite kwanza?
  7. M

    Orodha ya Watumishi wenye vyeti vya Kughushi...

    Umbea tu yanawahusu?
  8. M

    Orodha ya Watumishi wenye vyeti vya Kughushi...

    Hivi wapo binadamu wanakosa aibu kwa kiwango hiki? siwaonei huruma hao wote waliofukuzwa lakini lakini mnapata wapi ujasiri waku waacha wengine kwa sababu yoyote ile? Huo ujasiri sio wa binadamu, binadamu huwa na aibu.
  9. M

    Steve Nyerere: Harakati za Makonda kwa Bongo movie ni batili na za kujitafutia umaarufu

    Steve hebu geuka nyuma naona NOAH nyeusi inakufuatilia [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
  10. M

    Yuko wapi Komandoo Salmin Amour?

    Nyie watu maneno huwa mnatoaga wapi? [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
  11. M

    Magari yaliyotumika kuvamia mkutano wa CUF ya Maalim Seif yakutwa ofisi za CUF Buguruni yameegeshwa

    Mkuu ile dozi ya wahuni wa chadema itakuwa kutwa mara moja 1×1 [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Back
Top Bottom