Hata mie visiki
Hata mie visiki vinanisumbua sana, siyo rahisi kung'oa visiki kwa kuchimba kimoja kimoja hasa kwa shamba kubwa, bila shaka uzi huu utanisaidia pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu habari za jioni.
Leo tarehe 22 Machi 2019 kwenye taarifa ya habari ya saa kumi jioni nimemuona Waziri Mkuu akizindua kiwanda cha kuchakata muhogo.
Nafikiri hii ni fursa nzuri kwa wakulima wa zao hili kwa Mkoa wa Tanga na mikoa ya jirani.
Nami sitaki fursa hii inipite hivyo naomba mwenye...
Leo nimemuona Waziri Mkuu akizindua kiwanda cha kuchakata Muhogo Mkoani Tanga, nafikiri ni fursa nzuri kwa wakulima wa Muhogo. Nami sipendi fursa hii inipite, mwenye taarifa kuhusu mpango huu anijuze tafadhali, hasa taarifa za upatikanaji wa mashamba, ulimaji, mbegu, nk.
Sent using Jamii...
Tutaendelea kuibiwa tu, maana kila kinachofanywa na serikali kiwe kizuri kibaya wao huwa no kupongeza tu. Kama binge lisingekuwa data upepo tusingekuwa hapa leo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.