Recent content by Mwaume

  1. M

    DR Congo kuwa na Serikali ya pamoja, viongozi kutoka meengo wa Kabila na Tshisekedi

    Huu sasa ni uhuni, Afrika kupiga kura ni kupoteza muda tu.
  2. M

    Natafuta partner wa kufanya naye biashara ya ufuta

    Hii siyo kangomba mkuu? isije ikawa shida kama iliyotokea kwenye korosho
  3. M

    Picha :Dkt Mengi kuzikwa kando ya kaburi la mwanae, wazazi wake

    Nitapata wapi kitabu chake cha I CAN I MUST?
  4. M

    Picha :Dkt Mengi kuzikwa kando ya kaburi la mwanae, wazazi wake

    Tutamuenzi kwa kuiga mazuri yake kwa upendo wapekee kwa watu wote bila kujali kabila dini wala hali ya mtu. Ailaze roho yake mahala pema peponi amina.
  5. M

    Wakazi wa Mtwara na Lindi, tupeni hali ya hewa na kile kinachojiri

    Umeongea vizuri mkuu , tuna mazwazwa wengi humu
  6. M

    Bibi Titi Mohammed: Historia, harakati na wasifu wake

    Asante kwa kuweka kumbukumbu vizuri, kama mtu huna taarifa sahihi usipotoshe.
  7. M

    Je, kuna dawa ya kuozesha visiki vya miti?

    Hata mie visiki Hata mie visiki vinanisumbua sana, siyo rahisi kung'oa visiki kwa kuchimba kimoja kimoja hasa kwa shamba kubwa, bila shaka uzi huu utanisaidia pia. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. M

    Je, kuna dawa ya kuozesha visiki vya miti?

    Ha ha ha Sent using Jamii Forums mobile app
  9. M

    Waziri Mkuu Azindua Kiwanda Cha Kuchakata Muhogo

    Wakuu habari za jioni. Leo tarehe 22 Machi 2019 kwenye taarifa ya habari ya saa kumi jioni nimemuona Waziri Mkuu akizindua kiwanda cha kuchakata muhogo. Nafikiri hii ni fursa nzuri kwa wakulima wa zao hili kwa Mkoa wa Tanga na mikoa ya jirani. Nami sitaki fursa hii inipite hivyo naomba mwenye...
  10. M

    Kilimo cha Mihogo (Cassava): Mbinu, Ushauri, Changamoto na Masoko yake

    Leo nimemuona Waziri Mkuu akizindua kiwanda cha kuchakata Muhogo Mkoani Tanga, nafikiri ni fursa nzuri kwa wakulima wa Muhogo. Nami sipendi fursa hii inipite, mwenye taarifa kuhusu mpango huu anijuze tafadhali, hasa taarifa za upatikanaji wa mashamba, ulimaji, mbegu, nk. Sent using Jamii...
  11. M

    Kamati ya Uongozi wa Bunge yakutana Kwa Dharura

    Tutaendelea kuibiwa tu, maana kila kinachofanywa na serikali kiwe kizuri kibaya wao huwa no kupongeza tu. Kama binge lisingekuwa data upepo tusingekuwa hapa leo.
  12. M

    Tanzania: Mihimili mitatu ya Dola na mwingiliano unaokanganya

    Siasa tu, serikali ndo kila kitu hasa kwetu hapa maana hata Jaji Mkuu anateuliwa na Rais
  13. M

    Rwanda yaomba kuchukua anga la Tanzania

    Mambo ya nchi hayahitaji mzaha. Akipewa Kagame atakae kuja siyo Kagame tena
  14. M

    Hivi mwanaume unakosaje gari jamani?

    Siyo kuwa wasio na magari wote waliyataka wakakosa.
  15. M

    UTAFITI: 99% ya wanaume tangu waache kuogeshwa na mama zao hawajapaka makalio yao mafuta

    Kumbe mnapaka siyo matako tu bali hadi matakoni[emoji15] [emoji15]
Back
Top Bottom