konabar
Member
- Apr 18, 2018
- 25
- 19
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, naishi Rufiji Bungu, ni eneo linalojishughulisha sana na shughuli za kilimo hasa mihogo, ufuta na korosho. kipindi hiki ni kipindi ambacho ufuta unavunwa kwahiyo wakulima wanauza ufuta kwa watu wenye mitaji kwa tsh 2000/= kwa kilo na Serikali inatarajia kununua kwa 3500 kwa kilo. Nakaribisha mtu yeyote mwenye cash na kutaka kutengeneza faida ya 1500 kwenye kila 2000/=. na prefer kwa waliokaribu hasa maeneo ya Dar.
Ili uweze kuona nini kinanunuliwa at list kila week na kuepusha lawama na kukiona kinachonunuliwa bila kusahau lile zao jingine la mwezi wa 9 tunaweza shirikiana na kuliuza bila shida...... kwa yeyote atakaependezewa anicheki inbox. Kuna watu tumezungukwa na fursa lakini hatuna mtaji na kuna watu mna mitaji lakini hamna fursa au mnabanwa na kazi za kuajiriwa, tushirikiane kujikwamua kiuchumi, amina.
Ili uweze kuona nini kinanunuliwa at list kila week na kuepusha lawama na kukiona kinachonunuliwa bila kusahau lile zao jingine la mwezi wa 9 tunaweza shirikiana na kuliuza bila shida...... kwa yeyote atakaependezewa anicheki inbox. Kuna watu tumezungukwa na fursa lakini hatuna mtaji na kuna watu mna mitaji lakini hamna fursa au mnabanwa na kazi za kuajiriwa, tushirikiane kujikwamua kiuchumi, amina.