Wakuu habari za jioni.
Leo tarehe 22 Machi 2019 kwenye taarifa ya habari ya saa kumi jioni nimemuona Waziri Mkuu akizindua kiwanda cha kuchakata muhogo.
Nafikiri hii ni fursa nzuri kwa wakulima wa zao hili kwa Mkoa wa Tanga na mikoa ya jirani.
Nami sitaki fursa hii inipite hivyo naomba mwenye taarifa nzuri kuhusu kiwanda hiki anijuze pamoja nawengine wanao zihitaji, hasa taarifa za bei ya muhungo kwa ekari, upatikanaji wa mashamba, pembejeo, mbegu nk.
Natanguliza shukurani zangu za dhati.
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo tarehe 22 Machi 2019 kwenye taarifa ya habari ya saa kumi jioni nimemuona Waziri Mkuu akizindua kiwanda cha kuchakata muhogo.
Nafikiri hii ni fursa nzuri kwa wakulima wa zao hili kwa Mkoa wa Tanga na mikoa ya jirani.
Nami sitaki fursa hii inipite hivyo naomba mwenye taarifa nzuri kuhusu kiwanda hiki anijuze pamoja nawengine wanao zihitaji, hasa taarifa za bei ya muhungo kwa ekari, upatikanaji wa mashamba, pembejeo, mbegu nk.
Natanguliza shukurani zangu za dhati.
Sent using Jamii Forums mobile app