Recent content by Mwanyuma

  1. M

    Nasumbuliwa na ganzi kwenye vidole vya mkono na hivi karibuni imesambaa kwenye miguu, shida inaweza kuwa nini hapa?

    Hapo kwenye mienendo yako inaridhisha tufafanulie. Maana unaweza ukaletewa hayo magonjwa na mtu unaemuamini sana.
  2. M

    Rais Samia anataka kuiteka nyara nchi

    Kwani Nyerere na viongozi wenzake walivyopigania uhuru walihusika vipi na mambo ya mwaka 2023 na kuendelea mbele? Uongozi ni vision. Acha kelele. Muache mama apige kazi.
  3. M

    Kwa aina za Mahakama Tanzania sitoshangaa Mke wa Bilionea Msuya akiachiwa huru. Ni nani muuaji wa dada wa Msuya?

    Umetumia neno WAUAJI. Sasa tunaomba uthibitisho tumfunge. Kama hauna uthibitisho acha kelele.
  4. M

    Nyumba inauzwa Morogoro mjini (kichangani street)

    Am interested. Naomba picha ya nyumba
  5. M

    Kwa wale mnaopenda hacking; Kuna tool inaitwa AndroRat unaweza hack Android device remotely ukasoma texts, calls, hadi location ya muhusika.

    TATIZO NI HIYO LINUX. kwanini wasingeitengeneza iwe simu kwa simu au Microsoft windows au IOS?
  6. M

    Unaambiwa "Golden chance never come twice". Nimeichakatia uchochoroni

    Haujataja ndomu mkuu angalia asije akawa anagawa namna hiyo kwa watu kibao
  7. M

    Mungu yuko wapi?

    Masuala ya njaa yanaelezeka kibaiolojia. Lakini kabla hatujaiwaza njaa tuwaze huyu aliyetuumba mpka tukawa tunafunction namna hii yuko wapi? Alikuwa wapi? Aliketi wapi? Na alisimama wapi wakati anaumba yote yaliyopo ulimwenguni. Hilo ndio swali mku. Elewa swali.
  8. M

    Mungu yuko wapi?

    Hewa nayo si iliumbwa na Mungu.? Elewa swali mkuu
  9. M

    Samsung Galaxy S23 Ultra kuja na kioo flat tofauti na S22 Ultra

    Labda hizo za juu lakini mbwembwe za simu ya kukunja enzi hizi ni waste of time.
  10. M

    Samsung Galaxy S23 Ultra kuja na kioo flat tofauti na S22 Ultra

    Yani nisivyopenda misimu mikubwa mkononi linajaa na mfukoni unakua kama umebeba tofari. Kwanini wasitengeneze kisimu chenye umbo dogo but powerful?
  11. M

    Umeshakutana na shida gani kwenye gari lako upewe suluhisho?

    Mwenye uzi kusepa kaenda kutafuta ada za watoto
  12. M

    Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?

    Aisee huyo jamaa wa biashara ya mkaa na samaki wote nawapa big up sana
  13. M

    Mwanza kutamu asikwambie mtu

    LIPIA TANGAZO
  14. M

    Dark days 17/03/20

    YOGAAAAAAAAAAAAAAAA
  15. M

    Mungu yuko wapi?

    Naomba ufafanuzi kidogo mkuu
Back
Top Bottom