Recent content by Mwangu1024

  1. Mwangu1024

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Iv sky sports mnajisajili vp mbn ukiweka namba unaambiwa invalid
  2. Mwangu1024

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Nlifanya written nkaja practical nkamaliza na oral
  3. Mwangu1024

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mimi ilianza selected for oral baadae selected for null Status sio issue sanaa mm ilianza selected for oral then selected for null na kazi nlipata
  4. Mwangu1024

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Iv kupanda daraja Huwa ni Kwa miaka mingap ?
  5. Mwangu1024

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kwema huku? Iv kama salary slip portal inaonekana mshahara shida account ilikuwa dormant na baada ya kuactivate Hela haionekan shida nn msaada please
  6. Mwangu1024

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Database ipo na mm ni mmojawapo nlipata kazi kupitia hapo
  7. Mwangu1024

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Iv hiyo hotuba ya utumishi ni saa ngap?
  8. Mwangu1024

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kama kwel unajua mtumishi wa halmashaur na WA wizara Kwa kiwango kilrkile Cha elimu naomba unpe tofauti
  9. Mwangu1024

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ukizungumzia marupurupu mbn hata halmashaur yapo?
  10. Mwangu1024

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kwan tofauti ya kufanya kazi wizarani na halmashaur ni ipi Kwan mshahara SI kutokana na kiwango chako Cha elimu?
  11. Mwangu1024

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Naona pdf za watu wa halmashaur zinamiminika na Leo wametoa tena hongeren sanaa mliopata
Back
Top Bottom