Recent content by Mwangaya2

  1. M

    Mbele giza ajira za ualimu

    Sikia bwana mkubwa sio kama mimi nimekukataza kufanya uchunguzi wa soka la ajira kwa kile unachosomea, issue ni kwamba wewe umetumia kivuli cha mdogo wako kama yeye ndiye anaomba ushauri, mimi nadhani jambo la msingi kama unaomba ushauri au unataka kufahamu kitu fulani, usione shida au aibu...
  2. M

    Mbele giza ajira za ualimu

    Watu wengine mnaboa bwana wewe mwenyewe ndio upo first year, unazingizia kuwa mdogo ako ndio anayehitaji ushauri, we si upo UDOM wewe, tena upo block Q room no 45 we soma tu kwa bidii sasa ukianza kufikiria kuwa utaajiriwa au hautaajiriwa ivi utasoma kweli wewe..naona kama utadisco tu, maana...
  3. M

    Natafuta shule ya temple nifundshe

    Bwana acha ubishi, umetuaibisha walimu na kada ya ualimu kwa ujumla.
  4. M

    Uyatima unanitesa kichwa kinauma kila siku

    Kama huwezi kushauri ni bora upite kimya, shida haiangalii umri ndugu yangu!.
  5. M

    University of Dodoma naomba mpitie hapa

    Udom nimesoma pale kweli pana tatizo kubwa sana ukisaini lazima zipite week tatu, nakumbuka tulipokuwa first year kuna kuna course fulani majina hayakuletwa chuoni daa tulisafa sana. Ila kwa kuwa umesha saini unaweza kuazima pesa kwa mtu aliyepata pesa, nina uhakika ulichelewa kufanya...
  6. M

    Fedha za TP

    Utapata kwani sisi mwaka 2014 tulipokuwa mwaka wa pili kuna watu hawakupewa pesa zao, walifatilia hatimaye kwa mbinde wakapata lakini hapo ukubali kupoteza muda wa masomo na nauli. Kwa sababu jamaa walienda kufatilia pesa zao kwenye ofisi za loan board zilizopo Dar.Ila hawakuwatumia loan ofisa...
  7. M

    Magufuli ondoa bugudha ya kuchelewesha ajira za walimu

    Andika vizuri, unaandika kama unakimbizwa bwana, kwani we ndio msemaji wa TAMISEMI?. Hakika nina shaka na elimu yako, kama ajira zisingekwepo sidhani kama taarifa isingekuwa imeshatolewa na wizara husika mpaka muda huu.Hebu tujitahidi kidogo tu! kutokuwa wazushi. Ndio maana kuna watu wengine...
  8. M

    Wizara ya Nishati Angalieni bei ya umeme, service charge ya nini?

    We jamaa una hisa TANESCO nini?. mbona majibu yako ni hovyo kabisa, we unafikiri kila mtu anauwezo wa kuchangia 5,200 kila mwezi!. Usiwe mbinafsi kwa kujiangalia wewe tu, tazama watu wa vijijini je wanauweza wa kuchangia hiyo pesa kila mwezi.
  9. M

    Bodi ya mikopo kuhusu Continuing Stedents na First year ambao hawakupata mkopo.

    Daaa kwa uandishi huu sister, unaandika kama sio mwanachuo bwana!!.Jitahidi kuandika vizuri otherwise utachezea kodi zetu.
  10. M

    Tanzania kuna chuo kinachotoa elimu ngazi ya PHD?

    Rais Dr. John Pombe Magufuli (Mkemia) na Naibu spika Dr Tulia Ackson Mwansasu (Mwanasheria).
  11. M

    Msaada kidogo swali DS hapa

    Du swali limesimama... me mwenyewe limenitoa nje.
  12. M

    Naomba kujua ni kweli mwalimu wa degree mwenye carring over anaweza ajiliwa?

    Mpe pole jamaa yetu, kwa sababu sio kwamba kila aliyepata carry over alikuwa hasomi. Ila ukweli ni kwamba hataajiriwa, kwa sababu ukiangalia saiz walimu ni wengi, kwahiyo sidhan kama atapokelewa bila kuwa na vyeti.
  13. M

    Mbunge jimbo la Makambako

    Maendeleo gani? anayokufanyia wakati Makambako maji ni shida as if tupo jangwani. Halafu bili ya maji mwisho wa mwezi unaambiwa ulipe kama kawaida mbunge wana ccm mwenyewe ni shahidi...
  14. M

    HESLB watoa awamu ya pili wanafunzi waliopata mkopo 2015/16

    Kaka mbona hauna huruma na wenzio, uwe unaangalia je mkopo umetolewa kiasi gani!.Maana me naijua adhaa na karaha za chuoni. Angalia vizuri watu wote waliopata mkopo utagundua hawajapata tution fee na pesa ya fpt.. Na ikumbukwe wengi wao wanatoka katika familia masikini, je watalipaje hiyo...
  15. M

    GE2015 Dr. Pombe Magufuli, Rais mteule wa Tanzania awamu ya 5

    Halafu we jamaa acha mi sifa.
Back
Top Bottom