Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,895
- 11,288
Kama nipo sahihi anamsema Mbunge Deo Kasanyanda Sanga maarufu kama "Jah People" Mbunge wa Jimbo la Makambako-NjombeHata simjui anaitwa nani?
Sanga anashinda sababu ya pesa zake,ni mmoja kati ya wabunge wenye pesa nzuri ktk Bunge letu kwa biashara zake za kusafirisha bidhaa kwa malori yake na uuzaji wa vyakula hasa viazi na mahindi!Watz wanamkumbuka zaidi kwa kitendo chake cha kucheza Sindimba Bungeni siku Katiba ya Chenge ilipopita!
Mbunge Sanga hajui kusoma wala kuandika