Mbele giza ajira za ualimu

Mbele giza ajira za ualimu

Watu wengine mnaboa bwana wewe mwenyewe ndio upo first year, unazingizia kuwa mdogo ako ndio anayehitaji ushauri, we si upo UDOM wewe, tena upo block Q room no 45 we soma tu kwa bidii sasa ukianza kufikiria kuwa utaajiriwa au hautaajiriwa ivi utasoma kweli wewe..naona kama utadisco tu, maana utakuwa huna moyo wa kusoma.

Naona umeamini kutokana na post yangu katika jukwaa hili
 
Watu wengine mnaboa bwana wewe mwenyewe ndio upo first year, unazingizia kuwa mdogo ako ndio anayehitaji ushauri, we si upo UDOM wewe, tena upo block Q room no 45 we soma tu kwa bidii sasa ukianza kufikiria kuwa utaajiriwa au hautaajiriwa ivi utasoma kweli wewe..naona kama utadisco tu, maana utakuwa huna moyo wa kusoma.

uelewa ni mdogo saana wewe kama unasoma bila kuangalia future you ar a dead person , think big my brother ,think widely my dear, usisome tuu na kupata sifa ya kuwa msomi how will u be an intellect while your mind is focusing back ward, na unasema upo mwaka wa tatu. POLE
 
Ajir,zipo kama kinyaa no kutishika hapa tRNA kitu January au February.Hapa kazi tuuu
 
Walimu bado tunahitajika, na ajiraa n January au February
 
Naiona hofu tuliyonayo walimu wa Arts ukilinganisha na wenzetu wa Science (hususani Physics na Maths) wamerelax sana

Ila kila kitu kitakua sawa msijali sana Baed
 
uelewa ni mdogo saana wewe kama unasoma bila kuangalia future you ar a dead person , think big my brother ,think widely my dear, usisome tuu na kupata sifa ya kuwa msomi how will u be an intellect while your mind is focusing back ward, na unasema upo mwaka wa tatu. POLE

Sikia bwana mkubwa sio kama mimi nimekukataza kufanya uchunguzi wa soka la ajira kwa kile unachosomea, issue ni kwamba wewe umetumia kivuli cha mdogo wako kama yeye ndiye anaomba ushauri, mimi nadhani jambo la msingi kama unaomba ushauri au unataka kufahamu kitu fulani, usione shida au aibu kutamka kwamba wewe ndio mwenye shida kuliko kusema uongo!.Halafu isitoshe me nilishahitimu kitambo so sipo mwaka wa tatu kama unavyosema wewe, vinginevyo umeuliza swala zuri, isipokuwa sio vizuri kusema uongo.Sawa umeeleweka ila sipendi tubishane kwa vitu visivyo na msingi!
 
Ukiingia TAMISEMI-Notice Board,kuna tangazo limeandikwa Basic Education Statistics PMORALG ,Ilo tangazo limeonyesha shule zote za msingi na sekondari Tz na idadi ya walimu waliopo kwenye shule hizo. Ukiangalia bado kuna uhaba mkubwa wa walimu hususan shule za msingi,hata za sekondari ni chache zenye walimu wengi hususan zile zilizopo mijini.
Kwa maoni yangu naona kama ajira hazitakuwepo itakuwa ni kutokana na labda 'ukosefu wa pesa'(kutokana na nguvu kubwa kuelekezwa kwenye elimu ya bure) ila siyo kwa sababu walimu wametosheleza.
 
Walimu wa arts wamejaa ila sisi wa English bado tunahitajika sana coz bado wanafunzi hawajui kingereza bado
 
Tanzania Arts na science havina hata tofauti..vyote vinazalisha watu wanaojua kusimulia tu na kupiga soga...ubunifu 0, kufikiri na kujituma 0, maneno mengi na siasa 100%....ndo maana wote tunategemea ajira za serikali.
 
Ajira inaandaliwa tangu darasa la kwanza sio chuon tu, hii in zulimamoto ambayo ni kawaida kwa nchi yetu
 
Hvi nyie mnasema walimu Wa arts ni wengi wapi huko? Bhana huku vijijini hamna walimu over. Tunajipanga kumkuta mkurugenzi kumuuliza walimu watano wanafunzi 500 madarasa 8 ukijlisha lile la chekechea tunaendaje? Walimu waleteni bush hasa primary hizo degree zao zisiwatishe huku kuna watu ni PhD candidate na tunao huku wanafundisha misemo standard three mzungu anachungulia dirishani wanajibu kamasi. Mnawalea sana hawataki waacheni kitaa. Inaboa inakera na elimu huku hawajali
 
Tutakwenda kufundisha shule ya msingi kikubwa pesa sio lazima wote tufundishe secondary haiwezekan mwalimu wa degree ukose kaz wakati kuna diploma
 
Walimu wa masomo yote bado wanahitajika kwa wingi,wewe unaewakatisha tamaa walimu wa arts not fea hao walimu wapo wengi shule uliyopo tu,lkn shule zingine hazina walimu kbs.So msikate tamaa ajira zipo na wangekuwa hawahitajiki serikali ingesitisha mara moja uzalishaji wa walimu wa masomo ya arts.
 
Mimi naomba nishauri kitu kimoja.
Haya ni masuala ya maisha ya watu.
Si vizur kutoa maneno ambayo unajua fika kwamba yanalenga kukatisha watu tamaa ( hata kama ni ya kweli).
Ingefaa kusema kwamba waalim wa masomo ya arts wapo wengi ila uhakika Wa ajira upo mikononi mwa serikali yenyewe.

Unaweza Leo usipate ajira ya ualim but miaka michache ijayo ukaja hapa kushukuru kwa kukosa ajira ya ualim. Trust me.

Maana mwenyezi Mungu ana njia nyingi zakutufikishia rizk.

Unaweza pata plan nzur ya mchongo wowote ambao utakutoa sana hapo baadae na pengine ungekuwa kwenye ajira ya ualim usingeweza kuwaza mchongo huo.


Naomba waalim tarajali Wa masomo ya arts tusikatishwe tamaa na maneno ya watu ambao pengine hawaelew madhara ya kujifanya wasemaji Wa wizara zinazohusika na ajira za ualim.
Nilikuwa muumini wa kukatisha watu tamaa ila umenibadilisha kwa kiwango kikubwa sana ndugu.
 
Msijali wanangu mungu yupo pamoja na kila mmoja
 
Back
Top Bottom