intelligent mind
Member
- Nov 20, 2015
- 29
- 23
habari wana JF i hope ni wazima wa afya ninaswal ninataka kujua b'se kuna mtu kaniuliza nimeshindwa kujua nimeona nikilileta hapa naweza pata majibu
hiv mwalimu aliyemaliza degree lakin hakugadurate kwasababu ya kuwa na carring over ila fomu za ajira alishajaza je anaweza kuajiliwa maana najua kuwa wa diploma hawez ajiliwa i'll appreciate any kind of comment but please don't insult it better to remain silent.
hiv mwalimu aliyemaliza degree lakin hakugadurate kwasababu ya kuwa na carring over ila fomu za ajira alishajaza je anaweza kuajiliwa maana najua kuwa wa diploma hawez ajiliwa i'll appreciate any kind of comment but please don't insult it better to remain silent.