Magufuli ondoa bugudha ya kuchelewesha ajira za walimu

Magufuli ondoa bugudha ya kuchelewesha ajira za walimu

Abuwhythum

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2015
Posts
838
Reaction score
496
Hivi hii ni haki wahitimu kukaa mwaka mzima mtaani? Hadi content zinapotea. Ni bora uwepo utaratibu wa kuwaajiri hawa walimu hata mwezi wa kwanza wa kila mwaka, walau wawe mtaani kwa miezi mitano. Inawatosha kuwapa nidhamu ya kukubali popote watakapopangiwa vituo vya kazi hata kama ni kijijini wataenda.
 
Si haki kabisa, yaan hadi contents zimeshaanza kupotea
 
Muwe na subura ajira zenu zinashugulikiwa by wa pili mtakuwa mmepangiwa vituo vya kazi.
 
labda umesitisha wewe ila tambua kada ya ualimu na afya bado sana labda 2020

mkuu haina zhida kams zipo zitatoka tu mwaks huu tu zilisitishwa watu wskaajiliwa sababu ya kisiasa kutowakwaza watu ils kusems kweli mwenyewe unajua. tatizo la walimu sasa ni wa sayansi tena nao ni miaka miwili tu over.
 
mkuu haina zhida kams zipo zitatoka tu mwaks huu tu zilisitishwa watu wskaajiliwa sababu ya kisiasa kutowakwaza watu ils kusems kweli mwenyewe unajua. tatizo la walimu sasa ni wa sayansi tena nao ni miaka miwili tu over.

Andika vizuri, unaandika kama unakimbizwa bwana, kwani we ndio msemaji wa TAMISEMI?. Hakika nina shaka na elimu yako, kama ajira zisingekwepo sidhani kama taarifa isingekuwa imeshatolewa na wizara husika mpaka muda huu.Hebu tujitahidi kidogo tu! kutokuwa wazushi. Ndio maana kuna watu wengine wameshashtakiwa kutokana na taarifa za uongo kama zako.
 
Andika vizuri, unaandika kama unakimbizwa bwana, kwani we ndio msemaji wa TAMISEMI?. Hakika nina shaka na elimu yako, kama ajira zisingekwepo sidhani kama taarifa isingekuwa imeshatolewa na wizara husika mpaka muda huu.Hebu tujitahidi kidogo tu! kutokuwa wazushi. Ndio maana kuna watu wengine wameshashtakiwa kutokana na taarifa za uongo kama zako.
kwanini hutaki kuambiwa ukweli serikali haina haja na walimu wa arts ni sayansi wataajiriwa nao wachache sanaa watakuwa wanaajiriwa kulinganan na uhitaji sio kama ilivyokuwa kipindi cha kikwete saizi tupo kwenye austerity measure hatujazi watu ofisini kwenda kupiga stori kuna shule somo moja walimu 3. ushauri wangu mjipange kwa sera za kubana matumizi hamuwezi salimika sasa serikali inaangalia uboreshaji wa maslahi ya mwalimu pamoja na mazingira ya kujifunzia ikiwemo madawati.
 
ajira ni muhimu hata kama ni october mwakani wataajiri tu na haijarishi ni art au sayansi wote wataajiriwa kama wa art wangekuwa hawaitajiki basi vyuo visingekuwa vinawachukua lakn mpaka leo vyuo vipo na vinawadahiri , kama huna cha kusema bora usiwachokonoe wenzio usikie watasema nini muda mwingine unaweza tukanwa ukaaibika bure.
 
ajira ni muhimu hata kama ni october mwakani wataajiri tu na haijarishi ni art au sayansi wote wataajiriwa kama wa art wangekuwa hawaitajiki basi vyuo visingekuwa vinawachukua lakn mpaka leo vyuo vipo na vinawadahiri , kama huna cha kusema bora usiwachokonoe wenzio usikie watasema nini muda mwingine unaweza tukanwa ukaaibika bure.

reasoning yako iko chini sana kijana nani kakuambia watu wana ajiriwa sababu vyuo bado vina dahiri. na kwanini ufikirie kutukana unpoambiwa ukweli ambao huutaki ajira za walimu wa sanaa hakuna i save hii comment uje tena hapa mwakani kunikumbusha.
 
Back
Top Bottom