Mungu(mwenye huruma,wa upendo,anaehukumu kwa haki,muumba wa mbingu na nchi,ambae kwake hakuna udhalimu.....nk) awape ufahamu hawa watu kwakweli,. sijui kama wanaona kesho yao kupitia leo..:poa
Mwenye nguo mbili ampe moja yule asie na nguo,,,hvyohvyo huyu mwenye macho mawili alitakiwa ampe moja huyo mwenzi wake....kakurupuka tu cjui kawaza na kichwa part II.!!! By tha way ni muhmu kupenda kwa dhati,lakini bongo(akili) yako iwe active
We umetaka kitu,ukaambiwa utapewa lakini kwa shart hlo gumu la kushtua..!na wewe kama huwez ingia kwenye chaka bila buti kwa kuhofia usalama wako,muweke waz...
Lakini nakushaur ufanye likufaalo na lililo jema zaidi..
It av brought a challenge 2 me....TALLY and some other bookkeeping and accouting software applications seem to b so neccesary...so I hv to automate my skills especially on accouting as my batle field.(and whoever feel 2 belong,chukua hatua)..,isingekua tally na mm ningeweka msongamano...ngoja...
Wazuri wapo wengi,utajikuta unarukaruka kama kitenesi..sikia kengele ngrrrrrrr...tulia na wa kwako.!!unaweza kumfanya awe vile upendavyo,dont focus much on ready made coz there is cost behind...
Inapaiiin,and much depend on ur expectation to her for u..! Bt wisely ningempa fact kwamba am nt kimeo bt am.....(my name).then ningewatakia time njema halafu nikajivumilishe mbele..!!kama chaka chaka tuu..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.