Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Mara kadhaa watu wasiyoitakia mema nchi yetu wamekuwa wakilalamikia safari za mkuu wa nchi kuwa hazina tija wakati tunaona ujenzi wa barabara, Miradi ya maji, Miradi ya kilimo nk.
Je CHADEMA wanapopitisha bakuli kuomba fedha za kampeni katika chaguzi mbalimbali hapa nchini ni kweli hawana fedha, ni usanii au kwa ajili ya kushibisha matumbo ya wachache?
Nawasilisha.
Je CHADEMA wanapopitisha bakuli kuomba fedha za kampeni katika chaguzi mbalimbali hapa nchini ni kweli hawana fedha, ni usanii au kwa ajili ya kushibisha matumbo ya wachache?
Nawasilisha.