Battery Low we share the verry same story,mie ilikuwa kwa mjomba na rafiki yangu ambaye alikuwa mchungaji (R.I.P Mchungaji Kyando) ni mbezi beach makonde ss wenyeji wapo nje ila mie na mshkaji sebuleni,ukaletwa ugali maharage jamaa kakata kipande kaenda nje thn mie nikamimina maharage na kisamvu...
Twambie alitumia visa ya aina gani mkuu ndo tujue otherwise declare interest na kuwa ww ni kibaraka wake na Membe!
Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
Wee jamaa mbulula kweli kwelu. Labda sie Tanzania hatujitangazi ndo maana hatutembelewi sana ila haiondoi dhana kuwa tunavyo vivutio vingi ikiwa ni pamoja na ww usijeweza tofautisha kati ya 'uwingi wa vivution' na 'kutembelewa sana'
Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
Mwenye kuhitaj certification wiki moja ya bure naongeza just sms to 0713688846 jitambulishe 'jf family' thn ntakuelekeza ofisin kwangu Posta. Mmoja kana jana na wengi wane ni-pm pia ila ni ofa hasa kwa wale jobless maana nao tuwasaidie wapate kazi
Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
Bben2 nawe shule yako inashaka. Ulimaanisha baada ama badala? Kiswahili mzee nni shidaaaaaaa kuzidi hii lugha iliyokuja kwa majahazi na ndege!
Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
Kindili Ndili unapoteza watu mkuu. Kwanza huwezi kuthibitisha mahakama ya mwanzo,pili huwezi kutoa nakala/kopi ya cheti ambacho ulithibitisha yaan document iliyothibitishwa inatumika km ilivyo,ukitoa kopi inatakiwa ku-certify as a true copy of the copy of the original. Mwenye mahitaji ni PM...
Ngoja waje senior great thinkers wakupe jibu lako maana unauliza mpaka format ya pepa as if hapa NECTA. Soma dogo ili wakati pepa inakuja uwe tayar!
Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
Tatizo la akili ndogo kutaka kutafsiri andiko la mwenye akili kubwa. Unamkumbuka Prof. Seith Chachage na kitabu chake 'Makuwadi wa Soko Huria?' Km ni matusi basi ungesema Rais hapa alivuliwa nguo ila alijua jamaa kaandika nini. Tambua hiyo ni namna ya uandishi kny fasihi
Sent from my BlackBerry...
Hyo wa kulia nyele kama Drogba vile kapiga 'kalkiti' ila ikithibitika jamaa anaenda jela hivihivi maana hakimu aliyepangiwa kesi yake ni mtu wa 'spade a spade' hana masihara kabisa. Kwa asiye jua sheria anaweza kudhan labda Flora kamwonea ila kukiwa na ushahid 'water tight' anaenda jela 30 yrs...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.