Kituko cha mwaka 90

Kituko cha mwaka 90

Mbona mwenzio siku yangu ya kwanza kusafiri na ndege nilianza kusalimia wasafiri wote ndani ya ndege,unacheza na ushamba nini..

mhhh nilifikiri yalinitokea mimi tu kumbe na wewe..
 
nakumbuka wakati naingia mjini nilifikia kwa duka ya bro wangu sasa nilikaa apo kama mwezi mmoja ivi sasa umeme ukaisha kanambia niende nikanunue umeme kanipa noti ya elfu moja kipindi umeme ukiwa unit moja tsh.30...sinikajifanya nishaujua mji nikachepuka duka la jirani nikasema hapa napata umeme kilo ngapi? jamaa kuona ivo akajiongeza kanambia hapa kwangu umeisha ila chukua hiki kiroba nenda duka lile palee mwambie akupe kilo hamsini...ndugu yangu nilizungushwa karibu mtaa mzima utafikiri waliambiana...mwisho bro ikabidi anifuatilie.....
 
Hii ni ya zamani kidogo but nimeipenda wacha nichangie kidogo: mi yalinikuta pale CBA bank na mlango wao wa kuzunguka nao hadi mwisho ndo utoke...haisee yalikuwa majanga nilijigongagonga vya kutosha ndani ya ule mlango...Walio fika CBA bank Posta mashahid aisee
 
nakumbuka wakati naingia mjini nilifikia kwa duka ya bro wangu sasa nilikaa apo kama mwezi mmoja ivi sasa umeme ukaisha kanambia niende nikanunue umeme kanipa noti ya elfu moja kipindi umeme ukiwa unit moja tsh.30...sinikajifanya nishaujua mji nikachepuka duka la jirani nikasema hapa napata umeme kilo ngapi? jamaa kuona ivo akajiongeza kanambia hapa kwangu umeisha ila chukua hiki kiroba nenda duka lile palee mwambie akupe kilo hamsini...ndugu yangu nilizungushwa karibu mtaa mzima utafikiri waliambiana...mwisho bro ikabidi anifuatilie.....

Hapo ndio nimeamini washamba wapo wa aina nyingi hahahaaa
 
Battery Low we share the verry same story,mie ilikuwa kwa mjomba na rafiki yangu ambaye alikuwa mchungaji (R.I.P Mchungaji Kyando) ni mbezi beach makonde ss wenyeji wapo nje ila mie na mshkaji sebuleni,ukaletwa ugali maharage jamaa kakata kipande kaenda nje thn mie nikamimina maharage na kisamvu kny hotpot nkaanza kule bt tonge la tatu madogo wawil nao na sahan zao mkonon wanaingia na kuona vile wakatoka wanalia kuwa njaa inauma na mgen anakula ze msosi wote. Siku nyngne tena tumeenda tukakaa nje chin ya mwarobain,mm mshkaj na Mchungaj ss zikaletwa soda zikafunguliwa ila mchngj akawa anaendelea na story,bas mm nkachukua nkapiga km pafu nne ama tano(maana ilikuwa kitu bariiidiiiiii na tumetoka juan) basi kuona vile pasta akasema 'haya tusali tuombee vinywaji' yaan mpaka aibu coz soda isjakuwa almst nusu mlingoti

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
dah mi bado sijui itakuwaje mana sijawah panda lift kila ikinihusu nakwepa nko radh nipande ngaz had nitoe jasho,pia nilikuwa kwa semina ubungo plaza nilikwepa ngaz za umeme dada mmoja alianguka nilimcheka mi nikatumia ngaz zetu zile,dah yangu sijui itakuwaje
 
Sio kwamba najidai wala nini ila ki ukweli sikumbuki kitu chochote ambacho nimewahi kuwa mshamba, ninikumbuka nitakitupia!
 
Battery Low we share the verry same story,mie ilikuwa kwa mjomba na rafiki yangu ambaye alikuwa mchungaji (R.I.P Mchungaji Kyando) ni mbezi beach makonde ss wenyeji wapo nje ila mie na mshkaji sebuleni,ukaletwa ugali maharage jamaa kakata kipande kaenda nje thn mie nikamimina maharage na kisamvu kny hotpot nkaanza kule bt tonge la tatu madogo wawil nao na sahan zao mkonon wanaingia na kuona vile wakatoka wanalia kuwa njaa inauma na mgen anakula ze msosi wote. Siku nyngne tena tumeenda tukakaa nje chin ya mwarobain,mm mshkaj na Mchungaj ss zikaletwa soda zikafunguliwa ila mchngj akawa anaendelea na story,bas mm nkachukua nkapiga km pafu nne ama tano(maana ilikuwa kitu bariiidiiiiii na tumetoka juan) basi kuona vile pasta akasema 'haya tusali tuombee vinywaji' yaan mpaka aibu coz soda isjakuwa almst nusu mlingoti

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums

nimecheka ,nimecheka , nimecheka nikachekaaa balaaaaaa.... we jamaa noma, hahahahaha, etti nusu mlingoti, hahahaha
 
dah mi bado sijui itakuwaje mana sijawah panda lift kila ikinihusu nakwepa nko radh nipande ngaz had nitoe jasho,pia nilikuwa kwa semina ubungo plaza nilikwepa ngaz za umeme dada mmoja alianguka nilimcheka mi nikatumia ngaz zetu zile,dah yangu sijui itakuwaje

hahahaaa mkuu nmecheka sana lol!
 
Nakumbuka mara ya kwanza kwenda mjini na mzee wangu tukaingia hotelini tulipomaliza kula nikasafisha meza na kutoa vyombo...mzee wangu aliduwaa
 
Hiki sitakusahau kamwe....kuna mji nilienda nikiwa mdogomdogo sasa asubuhi imefika nikaamka na kuuliza choo,nikaoneshwa cha nje,sa ile kufika nakuta mdada wa kazi anamalizia kudek,ile katoka tu nikavua ndala na kutaka kuingia,kutahamaki watu wote wanacheka na kuniambia vaa wewe acha ushamba humo chooni.Aisee siku nzima ilikua ni stori tu.
 
mie nakumbuka niliwah mtembelea mjomba wangu mjini enzi hizo, kuingia ndan sebule full carpet, kimbembe ilikuwa wakat wa chakula cha mchana! yaan baada ya kula kama kawaida nilishazoea kunywa maji halaf unasukutua mdomoni, nikasukutua nikataka kutema duuh kumbe kuna carpet, aisee ikabidi niyameze!
 
enzi za ushamba wangu. nilipiga pasi soksi zangu za pundamilia, hapo ilikua darasa la tatu.... ila pia sitasahau siku nliyoweka blueband kwenye chai
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom