King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,866
- 24,976
never say never, kuishi ni kujifunza baba.
utakua hujapata kazi tu zikiisha hizo 20?
utakua hujapata kazi tu zikiisha hizo 20?
utatumia pesa nying manake zinahitajikaga sana...gonga muhuri kwenye original afu utakua unatoa kopi tu utakapohitaji..haina madhara na ni best way ya kutunza hivyo vijisenti
utatumia pesa nying manake zinahitajikaga sana...gonga muhuri kwenye original afu utakua unatoa kopi tu utakapohitaji..haina madhara na ni best way ya kutunza hivyo vijisenti
Kindili Ndili unapoteza watu mkuu. Kwanza huwezi kuthibitisha mahakama ya mwanzo,pili huwezi kutoa nakala/kopi ya cheti ambacho ulithibitisha yaan document iliyothibitishwa inatumika km ilivyo,ukitoa kopi inatakiwa ku-certify as a true copy of the copy of the original. Mwenye mahitaji ni PM natoa ofa kwa watu wangu wa jf kwa wiki moja hii mpaka monday free of charge ila Kindili usipotoshe watu mkuu maana mm naifanya hii kazi na najua utaratib si wa kuambiwa!
Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
kuna mtu kajitaja hapo juu kuwa ni mthibitishaji, muelewane tu...kama walivyosema toa kop nyingiiiii ukifika kugonga tu utatu,ia na siku inginesalam wanajamii. nlikuwa naomba msaada kwa yoyote anayejua sehem gani wanaweza kinisaidia ku certify vyeti vyangu na ni bei gani
Kwa hyo wewe ndo kimeo hujaelewa cos uzi ulivyosema pale mwanzo ulisoma au unaropoka tu? Soma uzi kwanza uelewehuu uzi umenichekesha sana............ but pia mleta Uzi unackitisha....I doubt your education... yaan hujui sehemu ya ku certify vyeti??????? naomba kujua professional yako.....
ndio zamani ilikua hakuna haja ya kucertfy lakini matangazo yao ya sasa kuanzia lile la aug 26 mwaka huu wameedit na kuongeza hayo maneno ya kucertfy vyeti.tafuta tangazo soma kipengele cha v
Hawa utumishi matangazo yao ya kazi sahivi ni lazima kucertify vyeti itakua ni usumbufu tu ila ndio hivyooo no way
Tangu ilivyoanzishwa sekretariati ya ajira hakuna mwaka ambao wameedit maelekezo ya jumla ya kuomba kazi.. Hilo neno certify lilikuwepo tangu zamani
mwanzon walikuwa kweli wanazingatia ila kwa sasa.. Ukicertify usipocertify vyote vinapokelewa...
Tena yule ambaye hajacertify atapata kazi then ww uliyejifanya kucertify ukakosa kazi
mambo ya msingi ili kufanikisha kuitwa kwenye usaili
1. vyeti vyako viwe original maana siku hizi ni rahisi kugundua vyeti fake na wanaobaini ni wenyewe utumishi na siyo hao maafisa viapo
2. Kama vyeti vyako ni vya nje ya nchi kathibitishe TCU au NACTE au NECTA kutegemeana na level
3. unapotuma application hakikisha una sifa mojawapo iliyotajwa ktk tangazo husika.. Vinginevyo sahau.. Yani hawa jamaa wakisema wanataka PUBLIC ADM bas na iwe hivyo usijiongeze na degree ya COMM DVT huitwi
4. unapotuma applicationa hakikisha unatuma latest CV. BARUA. PICHA MOJA. VYETI VYA TAALUMA TRANSCRIPT NA CHA KUZALIWA
5. HAKIKISHA JUU YA BAHASHA UNAANDIKA NAFASI ULIYOOMBA ILI KURAHISISHA KTK KUZITENGA vinginevyo sahau kuitwa kwenye usaili
NB: ILI UWEZE KUPATA KAZI HAPO NI UWEZO WAKO SASA KUONESHA JINSI ULIVYO BoRA UKIFIKA PALE KWENYE PANNEL basi (oral interview)
Mambo ya kuthibitisha vyeti kwa mahakimu mnapoteza hela.. Just imagine umetuma application 5 kwa mkupuo.. Vyeti kwa kawaida hiwa vitano.. Haya sh 5000 mara tano 25000 si wehu huo..
Wakuu!
Ningeomba nami kuchangia kidogo katika jambo hili.
Ni kweli kabisa hakuna ulazima wa kucertify vyeti vya elimu au kile cha kuzaliwa na hata kama itatokea hujafanya hivyo sekretariate ya ajira hawatakutilia mashaka yoyote.
Kingine kuwa ukitazama kwa umakini vyema vyeti vyako utagundua kuwa vimeandikwa "this is to @CERTIFY that ......................etc" hiyo inathibitisha uhalali wa neno certify kama lilivyoombwa na sekretarieti ya ajiri.
Utakachopaswa tu kama itatokea umeitwa kwenye usahili utapaswa tu kwenda na vyeti vyako halali na halisi.
salam wanajamii. nlikuwa naomba msaada kwa yoyote anayejua sehem gani wanaweza kinisaidia ku certify vyeti vyangu na ni bei gani
Mi jana tu nilienda kwa mwanasheria akanambia kucertify vyeti ni sh. 10,000 kwa kila kimoja. Nikamwambia subiri mama,ntakuja kesho ndo ikawa forever.