Naomba kuuliza kuhusu kuthibitisha vyeti

Naomba kuuliza kuhusu kuthibitisha vyeti

salam wanajamii. nlikuwa naomba msaada kwa yoyote anayejua sehem gani wanaweza kinisaidia ku certify vyeti vyangu na ni bei gani

Nenda kwa wanasheria au ktk mahakama yeyote ya mwanzo ila andaa buku tano.
 
Nenda kwa hakimu wa mahakama iliyo karibu nawe,bei huwa ni elfu 2 kwa kila copy lkn pia waweza jitetea kuwa ndio kwanza unatafuta kazi,hiyo hela utaitoa wapi? Wakiwa na roho ya utu wanaweza kukupunguzia.
Mie vyangu nilipeleka mahakama ya wilaya hapa musoma na kwa vyote walinifanyia elfu 8 na nilikuwa na copy 16.
 
Nenda kwa hakimu wa mahakama iliyo karibu nawe,bei huwa ni elfu 2 kwa kila copy lkn pia waweza jitetea kuwa ndio kwanza unatafuta kazi,hiyo hela utaitoa wapi? Wakiwa na roho ya utu wanaweza kukupunguzia.
Mie vyangu nilipeleka mahakama ya wilaya hapa musoma na kwa vyote walinifanyia elfu 8 na nilikuwa na copy 16.

Kwani si una-certify copy mkuu original haina sababu ya ku- certify.
 
Hawa utumishi matangazo yao ya kazi sahivi ni lazima kucertify vyeti itakua ni usumbufu tu ila ndio hivyooo no way

Mimi cjawahi peleka kwa hakimu wala wakili na usaili nilikuwa naitwa hadi na kazi ninayofanya nimeipata na sikucertify vyeti wala nini.
Pia nina washkaji kibao hawajawahi certify kwa hakimu na wanaitwa
 
utatumia pesa nying manake zinahitajikaga sana...gonga muhuri kwenye original afu utakua unatoa kopi tu utakapohitaji..haina madhara na ni best way ya kutunza hivyo vijisenti

Mkuu niliwahi kuuliza hapa kama inawezekana kutoa coppy ya coppy iliyogongwa muhuri ukawa unatuma hizo wadau wakasema haikubaliki hii imekaaje mkuu?
 
aisee mimi vyeti vyangu vyote vimegongwa muhuri tangu mwaka 2006 na sijawahi pata navyo shida kabisa...sijui tafuta mwanasheria muulize na aliyenishauri nifanye hivyo ni mwanasheria alienigongea. hebu ulizeni na wengine tuone

Mkuu naona kuna mkanganyo wa dhana mbili hapa. Unazungumzia kugonga muhuri vyeti halisia ili uwe unatoa tu coppy au unazungumzia umetoa coppy ukagonga muhuri hiyo coppy alafu coppy hiyo yenyemuhuri ukaitumia kama master ya kutolea coppy za kufanyia application?
 
salam wanajamii. nlikuwa naomba msaada kwa yoyote anayejua sehem gani wanaweza kinisaidia ku certify vyeti vyangu na ni bei gani

Nenda kwa mwanasheria au mahakama iliyo karibu nawe, kuhusu bei ni ushapu wako tu ukilemaa unapigwa ela nyingi tu tena reception pale, wengine utatoa hata 2000, wengine hadi 5000.
All the best
 
Kindili Ndili unapoteza watu mkuu. Kwanza huwezi kuthibitisha mahakama ya mwanzo,pili huwezi kutoa nakala/kopi ya cheti ambacho ulithibitisha yaan document iliyothibitishwa inatumika km ilivyo,ukitoa kopi inatakiwa ku-certify as a true copy of the copy of the original. Mwenye mahitaji ni PM natoa ofa kwa watu wangu wa jf kwa wiki moja hii mpaka monday free of charge ila Kindili usipotoshe watu mkuu maana mm naifanya hii kazi na najua utaratib si wa kuambiwa!

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Mara nyingi nimekutana na hiyo kitu kwenye matangazo ya kazi.Nielimisheni jamani!
 
aiseee nyie mawakili wasomi hivi hamwezi kucertify hizi hela tukapata truecopy of the original for use in some rainy days.
 
huu uzi umenichekesha sana............
but pia mleta Uzi unackitisha....I doubt your education...
yaan hujui sehemu ya ku certify vyeti???????
naomba kujua professional yako.....
 
Mimi cjawahi peleka kwa hakimu wala wakili na usaili nilikuwa naitwa hadi na kazi ninayofanya nimeipata na sikucertify vyeti wala nini.
Pia nina washkaji kibao hawajawahi certify kwa hakimu na wanaitwa

ndio zamani ilikua hakuna haja ya kucertfy lakini matangazo yao ya sasa kuanzia lile la aug 26 mwaka huu wameedit na kuongeza hayo maneno ya kucertfy vyeti.tafuta tangazo soma kipengele cha v
 
Kindili Ndili unapoteza watu mkuu. Kwanza huwezi kuthibitisha mahakama ya mwanzo,pili huwezi kutoa nakala/kopi ya cheti ambacho ulithibitisha yaan document iliyothibitishwa inatumika km ilivyo,ukitoa kopi inatakiwa ku-certify as a true copy of the copy of the original. Mwenye mahitaji ni PM natoa ofa kwa watu wangu wa jf kwa wiki moja hii mpaka monday free of charge ila Kindili usipotoshe watu mkuu maana mm naifanya hii kazi na najua utaratib si wa kuambiwa!

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums

sasa unapatkana wapi mbn hujatuwekea mawasiliano mkuu?
 
salam wanajamii. nlikuwa naomba msaada kwa yoyote anayejua sehem gani wanaweza kinisaidia ku certify vyeti vyangu na ni bei gani

nenda mahakama ya mwanzo ndio bei zao nafuu sana,kungine andaa pesa ndefu kila copy 5000.wakat iyo 5000 unaweza kugongew vyote mahakam ya mwanzo
 
Wanawapa listi au ni rushwa kama rushwa zingine.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom