Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
Njo vile mamaa
hahaaa lol
Njo vile mamaa
Gwajima hajakimbia nchi, jumapili iliyopita nilifika kanisani kwake, alikuwepo na hakuhubiria mbele, muda wote alitembea tembea kwa watu kwa zaidi ya masaa matatu!
Hapo nikaamini hakuna kilichosahihi kati ya yote ambayo yamekwisha andikwa kumhusu yeye. Tuliambiwa Mbasha kamshtaki kwa baraza la Maaskofu wa Kipentecoste, cha kushangaza badala ya maaskofu hao kumuwekea vizuizi ndio kwanza wiki iliyopita Pentecoste wametangaza kulitambua kanisa la Gwajima kama member wa Pentecoste
Mwenye akili na afahamu.
Mbona kama ana unasaba Koffie?alivyo smart huyu jamaa yaani hata jaji hawezi kumtia hatiani aslani
![]()
Hapo wametoka Mahakamani...
Wana asili ya Kongo? Amuulize Lulu alishindaje kesi.
daaaaaa utaonga hata gariii
Tatizo la dogo ni mario sana
Kwa kweli!! Yuko presentable balaa
![]()
Hapo wametoka Mahakamani...
Hahahahaaaa...mkuu umenikumbusha movie moja linaitwa 'sleeping with an enemy' .. Booonge la movie kama hujawahi liona litafute
Ningekuwa na binti tena wa kuoza ningempatia huyu Emma amuoe. Tena angekuwa ni mzuri wa sura na tabia kuliko Flora mwenyewe mzee wa umri kuliko Emma. Ninachukia sana mtu humtaki mume ondoka kauze tu na si kubambikiza kesi kubwa hivi.
Hahaaaaa, mkuu umenikumbusha neno la za mani kweli
Huyu alikosa wanawake hadi akaoa yule mporipori kweli??